Recent content by thomas 72

  1. T

    Fahamu kuhusu Fao la Kukosa Ajira Tanzania (Unemployment Benefit)

    Nilianza kulipwa hiyo 33.3% tarehe 11/12/2024 na nililipwa amount ya miezi miwili. Niliachishwa kazi tarehe 30/09/2024. Baada ya kunilipa hiyo hela ya miezi miwili inachukua muda gani kulipa malipo ya awamu nyingine kwa miezi minne iliyosalia. Nilijua labda wangelipa tena mwisho wa mwezi wa 12...
  2. T

    Inachukua muda gani kupata mafao ya kuacha kazi NSSF?

    Mimi niliachishwa kazi September 30 mwaka huu, Nimefatlia mafao yangu NSSF mwezi huu wamenilipa 33.3% ya mshahara niliokuwa napata kwa mkupuo wa miezi miwili. Malipo yanayofuatia huwa wanalipa kwa utaratibu upi au ikifika tarehe waliolipa mwezi huu mwezi unaofuatia tarehe hiyo hiyo wanalipa...
  3. T

    Laptop used inauzwa (hp)

    Laptop aina ya hp inauzwa sifa zake ni:- RAM-2.00GB PROCESSOR-Intell celeron 1.5 GHz SYSTEM TYPE-64-bit OS HDD-500 GB Battery capacity 4Hrs Windows 10 Inteprise Bei 300,000/= kwa anayehitaji tuwasiliane kwa namba 0758433462 nipo makumbusho Dar ea salaam
  4. T

    natafuta rafiki wa kike

    Hellow girlz!natafta rafiki wa kike awe anaishi dar.
Back
Top Bottom