Recent content by Thom Munkondya

  1. Thom Munkondya

    Kwanini bei za viwanja vilivyopimwa ziko juu sana nchini Tanzania?

    Ni kweli kabisa kuna mlolongo na huchukua muda mrefu ni tatizo hilo.
  2. Thom Munkondya

    Kwanini bei za viwanja vilivyopimwa ziko juu sana nchini Tanzania?

    Kwa lugha rahisi kabisa site plan ni ramani inayoonesha kilichopo ardhini au kwenye kiwanja au site kama ni kiwanja basi ukubwa wake,shepu yake,mipaka yake nk kama kuna nguzo au nyumba au mtaro yani kitu chochote ambacho kipo kwenye kiwanja kinaoneshwa kwenye site plan. TP(Town plan layout or...
  3. Thom Munkondya

    Kwanini bei za viwanja vilivyopimwa ziko juu sana nchini Tanzania?

    Kwa nini bei za viwanja vilivyopimwa ziko juu sana nchini Tanzania? Na Thom munkondya. Viwanja vilivyopimwa vinauzwa bei ya juu sana kwasababu upimaji ni gharama sana. Ukiona sehemu viwanja vilivyopimwa vinauzwa bei ya chini basi ujue hivyo viwanja havijapimwa ila vimetangazwa kama vimepimwa...
  4. Thom Munkondya

    Je, ni sawa wananchi wa Ngorongoro kuhamishwa?

    Ahsante san kwa mchango wako
  5. Thom Munkondya

    Je, ni sawa wananchi wa Ngorongoro kuhamishwa?

    Zanzibar ni nchi ambayo inajitegemea kwenye masuala ya ardhi.
  6. Thom Munkondya

    Je, ni sawa wananchi wa Ngorongoro kuhamishwa?

    JE NI SAWA WAKAZI WA NGORONGORO KUHAMISHWA..? Na Thom munkondya. Kwa mujibu wa sheria zetu za ardhi,mtu yoyote au mmiliki yoyote wa ardhi katika eneo lolote la nchi yetu awe na hati miliki au asiwe na hati miliki anaweza kuondolewa kwenye ardhi yake kama tu jambo linalofanywa au linalotakiwa...
  7. Thom Munkondya

    Car4Sale Nisaan Patrol inauzwa

    2006 NISSAN PATROL Price Tshs. 30 Million Engine TD42 Manual, 4000cc Fuel Diesel Gari ya kazi kazi In Very Good condition. Imetunzwa vizuri mnoo Mazungunzo kidogo yapo. Whatsapp/call: 0744336336
  8. Thom Munkondya

    Plot4Sale Viwanja vinauzwa Kinondoni Mabwepande

    Kuna sehem vimepimwa Sqm 500 ilaah kuna eneo jingine kama unaelekea kigamboni buyuni huko pia vipo vy sqm 800
  9. Thom Munkondya

    Plot4Sale Viwanja vinauzwa Kinondoni Mabwepande

    VIWANJA VINAUZWA KIGAMBONI KIMBIJI PROJECT PHASE VII MAELEZO Ni mradi wa viwanja vilivyopangwa na kupimwa vizuri. UKUBWA Kuanzia sqm 500 LOCATION Kigamboni kimbiji (Mtaa wa golani, nyuma ya jengo la serikali ya mtaa) UMBALI Kilomita 30 kutoka ferry Kilomita 2 kutoka bahari ya hindi Mita 100...
  10. Thom Munkondya

    Plot4Sale Viwanja vinauzwa Kinondoni Mabwepande

    #Repost @msomirealestatebrokersltd with @make_repost ・・・ KIWANJA KINAUZWA LOCATION Kigamboni gezaulole Mtaa wa mnarani UMBALI Kilomita 13 kutoka ferry Kilomita 1 kutoka barabara ya lami HUDUMA ZA KIJAMII Maji ya dawasco Umeme upo UKUBWA Sqm1396 (40 kwa 35) Robo ekari na kidogo NYARAKA. Hati...
Back
Top Bottom