Recent content by This Day

  1. This Day

    Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    Hata mmoja unatosha kabisa
  2. This Day

    Rais kuteua makada UVCCM kuwa Wakurugenzi ni kuvuruga Utumishi wa Umma

    Umesema vizuri kwamba wanaopendekeza,kwa hiyo kupendekeza Siyo kuteua,kweli kama kuna wanaopendekeza???Kwa nini asikae ofisini apitie mafaili ajiridhishe kwamba kilichopendekezwa kinafaa? Ndiyo maana unakuta mtu apangwa Halmashauri 2,angesoma hata ilo angeliona.
  3. This Day

    Rais kuteua makada UVCCM kuwa Wakurugenzi ni kuvuruga Utumishi wa Umma

    Mimi naamini huko wilayani kuna Watumishi waandamizi wanaofaha sana,Kulinganga na hii JD.Hata baadhi ya wakuu wa idara waandamizi wangefaha, kuliko kuleta watu wasio na uzoefu wala taaluma.Kwani lazima ateuwe fresh???ona sasa, Hii itakuja kuharibu na kuvuruga kila kitu
  4. This Day

    CHADEMA msilielie, si mlisema mtamnyoa? Anawaonyesha kwamba yeye ndiye anamiliki mkasi!

    Ilo ni jambo jingine ila unapokuwa katiba isiyo ruhusu hata kupatikana hao visionary inakuwa mbaya zaidi,Tumia pia mifano ya Ghana na nchi nyingi zenye Katiba nzuri
  5. This Day

    CHADEMA msilielie, si mlisema mtamnyoa? Anawaonyesha kwamba yeye ndiye anamiliki mkasi!

    Asante Nashukuru yumo humu atalishughulikia,kwa maana watu wameacha hoja ya umma wanapambana na CDM as if Katiba ni ya CDM,wakati ni jambo la kitaifa, tumelifanya jambo binafsi Sana.
  6. This Day

    CHADEMA msilielie, si mlisema mtamnyoa? Anawaonyesha kwamba yeye ndiye anamiliki mkasi!

    Hata wewe lipigie kelele kwani umekatazwa,au halikuhusu Naomba mwigulu au atakaye kuwa waziri wa fedha, mwakani apandishe tozo iwe 50% Ukitoa 100000,ulipe 30000 na ukituma ulipe 20000 ili watu wajipange sawasawa.
  7. This Day

    CHADEMA msilielie, si mlisema mtamnyoa? Anawaonyesha kwamba yeye ndiye anamiliki mkasi!

    Hao maskini ni zao la katiba mbovu,hivi unadhani inaundwa katiba ya chadema??? Unajua matumizi ya serikali wewe, unajua bunge linatumiaje,Unajua hasara ya kuwa na wanufaika wachache wa keki ya umma,Unajua gari analotumia mkuu wa wilaya/mkoa lina Thamani gani,na unajua bei ya mahindi korosho...
  8. This Day

    Mwigulu, it's enough. You MUST resign!

    Kwa hiyo wewe haikuhusu,inahusu chadema sivyo???
  9. This Day

    Tozo za Miamala: Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Mawasiliano (TCRA - CCC) linataka maoni yako

    Sasa wao kwenye pombe ndiyo wanapunguza kabisa, Maana wanatengeneza wanywaji wengi,na wanapunguza watumiaji wa mobile Money
  10. This Day

    Tozo za Miamala: Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Mawasiliano (TCRA - CCC) linataka maoni yako

    kwa namna hii itakuwa ni vigumu sana kuwa na huduma za kifedha Jumuishi,Ni hatua iliyoletwa na ubinafsi na kushindwa kujua kwamba mpango wa fedha jumuishi ulilenga nini, Mpango huu ulilenga kuwajumuisha watu wa kada mbalimbali zikiwemo kaya maskini wale wanaopata Pesa za kaya maskini yaani...
  11. This Day

    Nachotaka ni zile Rasimu za Jaji Warioba 1 & 2 tu, zifanyiwe kazi tupate Katiba Mpya

    Itumike ile rasimu ya pili ya tume ya Warioba yaani ile ya 2014,maana ilirekebisha ile ya 2013
  12. This Day

    Mbowe: Mama! Mama! Mama! Kwenye hili HAPANA

    Tusubiri kidogo mpaka lini,jambo lolote lenye plan,linakuwa na timeframe, kuhusu uchumi na ajira, ni zao la katiba mbaya na kandamizi, KATIBA ni msingi wa yote, Kwani kilichoharibu uchumi na hata ajira si kilitokana na katiba,iliyotengeneza mamlaka isiyo wajibishwa??? Na kwa kweli ili si jambo...
  13. This Day

    Mbowe: Mama! Mama! Mama! Kwenye hili HAPANA

    Mambo ya kitaifa usifanye ya mtu binafsi,hatuzungumzi katiba ya Lissu,tunazungumza katiba ya Tanzania. Nenda na HOJA achana na mambo Binafsi
  14. This Day

    Mbowe: Mama! Mama! Mama! Kwenye hili HAPANA

    Ni kwa ajili ya katiba mpya,hii si hitaji la CDM,ni hitaji la wananchi,Katiba hii ilipoandikwa mwaka 1977 ni dhahiri kwamba hata 30% ya population (population ilikuwa 17m)haikuwa imezaliwa,kuna shida gani watu kuulizwa na kuchangia mawazo wanataka waongozweje???Kama wanataka kuburuzwa tutajua...
Back
Top Bottom