Nachotaka ni zile Rasimu za Jaji Warioba 1 & 2 tu, zifanyiwe kazi tupate Katiba Mpya

Aug 5, 2019
62
87
Binafsi kuhusu #KatibaMpya, nataka ije leo kesho ila ambacho SITAKI ni kuanza upya kwa mchakato yaani tuanze tena kuchukua maoni ya wananchi na kutengeneza rasimu nyingine,nachotaka ni zile Rasimu za Jaji Warioba 1 & 2 tu, zifanyiwe kazi tupate Katiba Mpya nzuri na wasiirejee ile Katiba pendekezwa maana ni madudu tena yale yale.
 
Back
Top Bottom