Kwaujumla uchaguzi wa Chadema niwakujivunia na wa Mfano.
1.Hakuna mahali Police wamehitajika kama Ule wa CUF ya lipumba kuzuia kukubalika kwa barua yake ya Kujiuzulu wala ule wa Kuchagua Viongozi Nnje ya Kambi ya Maalim Seif.
2. Hata Summaye alipata nafasi yakwenda kupigiwa Kura na wajumbe, na...
Hivi ni Rais Makufuli au Tanzania? Hawa ni Wananchi wa Tanzania hivyo ni Muhimu kuisemea Nchi yao, ila si lazima kuwa Wanachama wa Chadema au Chamakingine, hivyo hawalazimiki kuisemea Chadema wala Chama kingine, hebu tutumie fikrazetu vizuri kuikomboa Africa yetu Kutoka kwenye huu Umasikini wa fikra
Wewe ukiwahi kuingilia Demokrasia ndani ya Chama Chochote. Hasa huko ambapo Raisi anapewa Uwenyekiti kama Mwanachama maalum?
Nani Kawahi ona hiyo si Demokrasia
Kwanza haya ni Maoni yako, iweje ulazimishe Askofu wetu watoe kauli Kuunga mkono Maoni yako?
Poli kuba tofauti kubwa kati ya Demokrasia kwenye Mambo ya Kitaifa na Kwenye Chama cha siasa kwa sababu zifuatazo.
1. Kukaa kwenye Chama ni uamuzi unaoweza kuubadilisha wakati wowote, hivyo ni uamuzi wa...
Tuwe waungwana, sisawa Uujibizana na Rais hadharani kwa Kumkosoa hata kama amekosea. Huu ni ustaarabu wa kawaida tuu, kwa Mkubwa wako Kicheo. Zipo njia zinazokubalika ki protokali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.