Tatizo siyo ujuaji. Wewe unashindwa kueleza tatizo unaloliona badala yake unaelekeza mashambulizi kwa uwekezaji ulio karibu na unakoishi bila kujua wanavyo manage regulatory compliance requirements kwa uwekezaji wao. Ukiingia huko ndiyo utapata nafasi ya kujua na kuacha kuwapiga vita. Acha...
Habari TANESCO,
Ni mwezi wa tatu sasa tangu tumeomba kufungiwa umeme lakini kila tikiuliza tunapewa sababu mpya. Mara hatuna gari, mara team yetu iko busy inatengeneza nguzo zilizoanguka, na kadhalika na kadhalika. Tufanyeje?
Natafuta operator wa mashine ya kukoboa mahindi na kusaga unga. Ina uwezo wa kusaga tani kumi kwa siku. Awe na uwezo wa kufanya mauzo kwa kupeleka kwa wateja.
Niko Dar es Salaam, Mbagala.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.