Wakimuachia kwa dhamana akatekwa?,lawama zije tena kwa serikali ndio imemteka?,
Nafikiri ndugu jamaa na familia yake wawe wapole kwani alipo ni sehemu nzuri na salama zaidi kwake.
Hivyo mahabusu patafanya watekaji waairishe mpango wao
Huo msamiati ni mgumu sana kwa viongozi wa kiafrika,kwani ukipata cheo sio utumishi wa umma bali ni kuula,sasa elewa hapo mpaka atenguliwe
Juzi America kiongozi wa secret service kajiuzulu baada ya Trump kupigwa risasi
Hili halina ubishi, Wizara ya nishati chini ya Waziri Makamba na Byabato wameliingiza taifa kwenye hasara kubwa sana.
Hawakuridhika, walipokuwa Mambo ya Nje wamefanya madudu mengi, ni muda sasa kwa idara husika kurejesha Mali walizolimbikiza na kuwafungulia mashitaka kwa matendo yao.
Kawaida ninavyofahamu mimi mamlaka ya uteuzi ina weza teua na kutengua bila kuhojiwa, nilitegemea vijana hawa kwa maana ya January Makamba, Nape Nnauye na Byabato wamshukuru Rais Samia kwa dhamana walizotumikia, lakini naona kimya.
Je, hawaamini kama cheo ni dhamana?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.