Recent content by thetallest

  1. thetallest

    Viongozi na Wafuasi wa Chadema Wafurika Mahakamani, Hatima ya Boniface Jackob kujulikana leo

    Wakimuachia kwa dhamana akatekwa?,lawama zije tena kwa serikali ndio imemteka?, Nafikiri ndugu jamaa na familia yake wawe wapole kwani alipo ni sehemu nzuri na salama zaidi kwake. Hivyo mahabusu patafanya watekaji waairishe mpango wao
  2. thetallest

    Ado Shaibu: Nimeambiwa bado kuna matukio ya Watoto kupotea na vifo pia Kanda ya Ziwa, hatutakiwi kukaa kimya

    Hivi Masauni na Wambura wakijiuzulu nyadhifa zao,mauaji na upotevu wa watoto utakwisha?
  3. thetallest

    Wanao Msifu Katoa Fedha Nyingi

    Hili nalo ni neno,aisee!
  4. thetallest

    IGP Wambura, ukijiuzulu hutapungukiwa chochote zaidi ya kujiongezea Heshima mbele ya Jamii

    Huo msamiati ni mgumu sana kwa viongozi wa kiafrika,kwani ukipata cheo sio utumishi wa umma bali ni kuula,sasa elewa hapo mpaka atenguliwe Juzi America kiongozi wa secret service kajiuzulu baada ya Trump kupigwa risasi
  5. thetallest

    Mamlaka zisiishie kutengua tu; watenguliwa watemeshwe ukwasi waliolimbikiza ili iwe onyo kwa wengine

    Hili halina ubishi, Wizara ya nishati chini ya Waziri Makamba na Byabato wameliingiza taifa kwenye hasara kubwa sana. Hawakuridhika, walipokuwa Mambo ya Nje wamefanya madudu mengi, ni muda sasa kwa idara husika kurejesha Mali walizolimbikiza na kuwafungulia mashitaka kwa matendo yao.
  6. thetallest

    Nape na January Makamba mpaka sasa sijaona shukrani zenu kwa rais Samia kwa kuwapa dhamana mlizokuwa nazo, je ni nongwa ya kutumbuliwa?

    Kawaida ninavyofahamu mimi mamlaka ya uteuzi ina weza teua na kutengua bila kuhojiwa, nilitegemea vijana hawa kwa maana ya January Makamba, Nape Nnauye na Byabato wamshukuru Rais Samia kwa dhamana walizotumikia, lakini naona kimya. Je, hawaamini kama cheo ni dhamana?
Back
Top Bottom