Kampuni ya spaceX inayo milikiwa na mtu namba moja tajiri duniani "Elon musk" kwa kushirikiana na NASA wamefanikiwa kurusha rocket yao ya falcon 9 kwenye mission ya CRS-26 Cargo ambayo rocket hiyo imeruka kutokea duniani nchini marekani kwenye eneo la NASA's Kennedy space center Florida jana...
picha hii ni halisi imepigwa ndani ya lisaa limoja lililopita na chombo cha Orion spacecraft kilicho ruka na rocket ya mwezini kwenye mission ya Artemis I 🛰
kumbuka shirika la anga za mbali NASA, wanampango wa kumrudisha binadamu kwa mara ya pili kwenda kuishi kwenye mwezi baada ya kupita...
Naweza nikawa na weka mjadara na mtoto wa Darasa la Saba maana maswali ujibu ufafanui au ujaelewa hoja yangu.
Kwasababu naona unaanza kuchanganya sayansi na dini
Ngoja nikufafanulie kidogo sizani Kama utaelewa lakini.
Katika dimension zipo 4 (4D) wewe kwenye post yako umezungumzia dimension...
Wewe sayansi yako hii umesomea wapi ? Nitajie formula ya hizo namba ulizotumia kuangalia uumbaji umezisoma kwenye chuo gani ?
maana tukirudi past kwenye uumbaji itafikia sehemu tutakuta amna kitu yani ni empty hakuna namba hakuna herufi na hakuna sayari wala uchumi.
Yani namaanisha tukitoka...
Mimi chapisho lako sielewi kwamba unatulingishia kazi uliyo nayo au unataka kusaidia vijana, na Mimi ngoja nikuache nisije nikawa na bishana na Dogo wa darasa la Saba B bure.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.