Unataka kuniambia vituo vyote vya televisheni bei ni sawa???? hilo moja
LA pili unahakika kuwa member wote walioingia pale Jana walikua 1000???
Tatu muziki hauwezi kuwa na gharama kubwa zaidi ya wasanii waliotumbuiza
NNE ni nani amekuambia kuwa ukumbi ulikodiwa kwa kiasi hicho cha pesa???
Acha...
Nadhani unajua kama watu walikua wanatoa michango kabla ya uchaguzi na uzinduzi kupitia Bank na kwenye simu pia nadhani unajua kuwa kila chama kina ufadhili na marafiki kutoka nje ambao wanatoa michango ya mali,ushauri na vitu mbalimbali pia nadhani unajua zile helicopter za chadema zinakotoka...
Umemsikiliza prof Kitila Mkumbo??? Kama haujamsikiliza jaribu kufuatilia siasa za Kenya,Afrika ya kusini,China,uingereza au tafuta katiba ya ACT uisome
Ukiwa kiongozi wa ACT kuanzia ngazi ya jimbo ukagombea nafasi ya uongozi kuanzia udiwani na kuendelea na kwa Bahati mbaya ukakosa kuchaguliwa utatakiwa kujieleza ndani ya chama ni sababu zipi zilizopelekea ushindwe ilihali Wewe ndiye mtu unayeweza kueleza vizuri Sera za chama na kama maelezo...
Nani kakudanganya hakuna kituo cha television kinachotumia malipo ya sekunde huanzia na dakika na dakika moja haizidi laki moja pia kuna tofauti kati ya tangazo na kulink live kulink live kuna punguzo kubwa sana
Zitto kasema mwanasheria wa Chadema akiambatana na Katibu mkuu waliutangazia umma wa watanzania kuwa wamemfukuza ndani ya chama lakini bado haikua taarifa rasmi ya kimaandishi kwani Zitto mwenyewe hakupewa barua wala tume ya taifa ya uchaguzi haikupewa barua hivyo hata spika nae hakuwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.