Niliwai kuchangia Mada hapahpa kweny swala la mahusiano ya mbali. Huyu nipo nae mbali, kupita mwaka1 bila kuonana ni kitu cha kawaida tu kwetu, kwao natambulika lakini sio kwa kuchumbia, hvo Dada ake, na kaka ake ndyo ambao wananipaga taarifa endpo akienda mwanaume kumtolea posa binti anakataa...
Nina msichana niko kwenye uhusiano nae yapata mwaka wa8 sasa, lakini kwenye maisha ya uhusiano kamili ni miaka6, wa 7 na wa8 imeikuwa ni miaka ambayo changamoto,misukosuko,kugombana na kufikia hatua ya kuvunja kwa uhusiano.
Shida ilianzia pale ambapo ameniona mm siendi kumchumbia kwao hpo ndo...
Tuna mwaka wa7 sasa na ndani ya miaka 7 hiyo tumeonana live kwa mara 4 tu. Mara 1 ni siku ya kwanza kuwez kuonana na kufahamian na awamu 3 hizi ni ambzo tayari tushakuwa kwenye uhusiano,. KiUkweli si kazi lahisi kuwa na uhusiano wa namna hiyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.