Recent content by thekop

  1. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania USHAURI ukioa Binti wa Mmeru na wewe siyo Mmeru basi usithubutu kabisa kuishi/kujenga maeneo yao Arusha kuanzia Tengeru usa maji ya chai

    waliopitishwa Uchagani, kuna ambaye si Mchaga..? Tuambie kabila lako, tuone kama ni bora kuliko Wameru
  2. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania USHAURI ukioa Binti wa Mmeru na wewe siyo Mmeru basi usithubutu kabisa kuishi/kujenga maeneo yao Arusha kuanzia Tengeru usa maji ya chai

    Mnaowasema Wameru, hebu tuambieni pia makabila yenu ili tuwalinganishe na Wameru, tuone kama nyie ni bora kuliko hao Wameru... mleta mada kuwa wa kwanza kutuambia kabila lako, upewe majibu yako
  3. T

    JamiiForums Tanzania Mlipuko wa Homa ya Nguruwe (ASF), Kuna nini Wizara ya Mifugo ???

    Toka mwaka huu uanze kumekuwa na mlipuko mkubwa wa homa ya nguruwe (ASF) kwa mikoa ya Dar es salaam, Morogoro, Pwani, Tanga na sasa Arusha na Kilimanjaro ugonjwa unaendelea kushika kasi. Kwa sasa nyama ya kitimoto inayouzwa kwenye mabucha Arusha na Moshi kwa kiasi kikubwa inatokana na nguruwe...
Back
Top Bottom