Babuuu eh,usiombe likukute. Japo sijazoea na naona bado kama ndoto,wakiwa na 1.5 years alifanya hivo,nikambembeleza,akakuza kidogo. Baada ya mwaka,akasusa mazima.
Bado nakomaa, si kazi ndogo,we baba we mama, unatakiwa uwalee,uwahudumie, na ndo utafute.
Siku moja, hata uji hawana...