Recent content by TheGreatASA

  1. TheGreatASA

    JamiiForums Tanzania Nimechagua Infinix hot 60 pro badala ya Samsung A16 zote bei zilikua sawa 400k

    Kwenye latest software unapata ulinzi zaidi wa simu yako dhidi ya hackers ambao wanakesha kutafuta namna ya ku hack na kuiba tarifa zako na pia unapata features mpya ambazo hazikuwepo katika toleo lililopita. Ukiachana na features updates, kutumia simu isiyopata security updates ni hatari kwa...
  2. TheGreatASA

    JamiiForums Tanzania Nimechagua Infinix hot 60 pro badala ya Samsung A16 zote bei zilikua sawa 400k

    Kwanini ununue s10+, simu ya zaidi ya miaka 6 iliyopita...🤔
  3. TheGreatASA

    JamiiForums Tanzania Nimechagua Infinix hot 60 pro badala ya Samsung A16 zote bei zilikua sawa 400k

    Chaguo zuri lilikuwa Galaxy a16. Hapa ungepata Software major upgrade miaka 6. Tatizo la hizi infinix, Tecno, nk hawafanyi software upgrade. Ina maana ukinunua simu ya Android 14 au 15...ndo imetoka hiyo huwezi pata latest android software.
  4. TheGreatASA

    JamiiForums Tanzania ACHA KU-INSTALL SOFTWARE KILA MARA UKIPATA COMPUTER NYINGINE/MPYA

    Kwa ujumla hii sijaielewa. Mimi natumia software mbalimbali kama vile, autoCAD, ArchCAD, Microsoft Project, Foxit PDF, American truck, nk. Naweza kutumia Portable Apps??
  5. TheGreatASA

    JamiiForums Tanzania Fulsa ya kuandika kwenye Website

    Hello wadau. Fulsa imetolewa bure ya kuandika kwenye website. Website hii ni engineering blog, wadau wote wenye interest ya kuandika na kutaka ku share mambo mbali mbali ya kitaaluma wanaweza kufanya hivyo. Wahandisi, wanafunzi wahandisi, na wengine wote wanaoweza kuandika maada yoyote...
  6. TheGreatASA

    JamiiForums Tanzania Professional/Business email na umuhimuwake.

    Tatizo watu wengi wanahofia sana gharama za Email Hosting, japokuwa gharama zake sio kubwa ukilinganisha na Website hosting.
  7. TheGreatASA

    JamiiForums Tanzania Simu yenye kamera nzuri kwa bajeti ya laki4 hadi 5

    Milioni 2, hapana. Kama hivyo ndivyo, sasa Pixel 9pro itauzwaje?? 🤔
  8. TheGreatASA

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu wanapenda simu za Samsung?

    Mimi nimetumia sana samsung A series na kwa sasa nimechoka....mwaka jana nilihamia Xiaomi.
  9. TheGreatASA

    JamiiForums Tanzania Unit Operations for Wastewater Treatment: The Complete Guide

    Wastewater treatment combines physical, chemical, and biological processes to eliminate pollutants, pathogens, and harmful substances to produce safe water for discharge into the environment or reuse. Furthermore, methods of treatment in which the application of physical forces predominates are...
  10. TheGreatASA

    JamiiForums Tanzania Huduma ya Web Design

    🙏
  11. TheGreatASA

    JamiiForums Tanzania Huduma ya Web Design

    Hongera kwa huduma hiyo. Naomba Ushauri kuhusu website yangu hii 👇, kama inafaa ku redesign au la! https://websiteforengineers.com/
  12. TheGreatASA

    JamiiForums Tanzania Unahitaji programu gani ya kompyuta nikupe?

    Nahitaji Autodesk AutoCAD 202 Windows
  13. TheGreatASA

    JamiiForums Tanzania Unahitaji programu gani ya kompyuta nikupe?

    Nahitaji Autodesk AutoCAD 2026 pamoja na MsaterSeries 2024 (Structural Analysis)
  14. TheGreatASA

    JamiiForums Tanzania Tanzania iko mbioni kutunga sheria na kuweka muongozo wa kutekeleza mfumo wa kitaifa wa mtandao wa simu, ujulikanao kama National Roaming

    Mtoa hoja naomba unieleweshe kidogo, kwa sasa kuna kitu kinaitwa roaming kwenye mitandao ya simu na hasa ukitoka nje ya nchi..... inakuaje hii roaming.! Ni nini??
Back
Top Bottom