Recent content by The Zanzibar Echo

  1. The Zanzibar Echo

    JamiiForums Tanzania Ukraine yapoteza mji wa mashariki uliokumbwa na vita

    Wanajeshi wa Ukraine wamejiondoa kutoka mji wa mashariki wa Siversk uliokumbwa na vita, huku Urusi ikiendelea kusonga mbele taratibu. Jeshi la Ukraine lilisema Jumanne kwamba lilichukua hatua hiyo "kuokoa maisha ya wanajeshi wetu na uwezo wa kupigana wa vitengo", na kuongeza kwamba vikosi vya...
  2. The Zanzibar Echo

    JamiiForums Tanzania Putin: Kama Ulaya inataka vita na Urusi tupo tear ata sasa

    Hivi cranial cavity yako imejazwa na nini kaka ubongo au kinyesi soma historia ya kweli acha kufata mkumbo
  3. The Zanzibar Echo

    JamiiForums Tanzania Putin: Kama Ulaya inataka vita na Urusi tupo tear ata sasa

    Kwanini usiende wew kumsukuma ila faham ana 7000 active nuclear warheads akivigawa kwa EU kila mmoja anapata 220 usisahau ana orshenik, iskander na nyenginezo nyingi
  4. The Zanzibar Echo

    JamiiForums Tanzania Putin: Kama Ulaya inataka vita na Urusi tupo tear ata sasa

    Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema hawana nia ya kupigana na ulaya ila ikiwa ulaya na vita na Russia basi wao wapo teari Ata sasa
  5. The Zanzibar Echo

    JamiiForums Tanzania Jinsi ccm inavotumia watoto wa kimaskin kujaza mikutano yao.

    Kama itakua unafatilia kwa makin mikutano ya ccm basi utagunduq asilimia 40 au zaidi ni watoto Watoto hawa wa kimaskin hukatizwa masomo yao shulen na kupelekwa katika mikutano wakati watoto wao wapo feza na international school zengne wanasoma
  6. The Zanzibar Echo

    JamiiForums Tanzania Jinsi nguvu ya Marekani inavyoanguka taratibu duniani

    Wasalm alaykum tena wana Jf. Naam naamini wanaofatilia kile kinachoonekana na kuendelea pale Tianjin, China na katika mkutano wa kilele wa Shanghai cooperation organization. Ndio, bwana Xi Jingpin amekusanya kila mwenye nguvu kutoka Russia kwa Vladimir Putin, mashariki ya kati kwa Ayatollah Ali...
  7. The Zanzibar Echo

    JamiiForums Tanzania Urusi yashambulia Makao makuu ya Umoja wa Ulaya, EU na kuua 23

    Rais wa Tume ya Ulaya, Ursula von der Leyen, ameeleza hasira yake kufuatia shambulio kubwa zaidi la Urusi mjini Kyiv tangu Julai, ambapo watu 23 akiwemo watoto wanne waliuawa na ofisi ya ujumbe wa EU pamoja na majengo jirani kuharibiwa. Maafisa wa Ukraine wamesema makombora ya Urusi yaliharibu...
  8. The Zanzibar Echo

    JamiiForums Tanzania Baada ya Lissu kutolewa Sero atahitajika kufanya Reforms ili kujenga Chama chake

    Heri umemjb uyu sijui nini kinamsumbua lissu ni package ya siasa elimu, ujasiri, uzalendo, akili, ujuzi, kipaji yaan hmna kitu lisu kinahitajika mungu hakumpa. Nakushauri nenda Google andika tundu Lissu ni nani mambo saba muhimu yanayomtambulisha mwanasiasa huyu bbc swahili. Asante sana
  9. The Zanzibar Echo

    JamiiForums Tanzania Anayoyafanya mtoto wa Samia Suluhu yanafikirisha na kuumiza sana

    Asante sana na mm niko na ww bega kwa bega na tutafika japo haitokua rahisi
  10. The Zanzibar Echo

    JamiiForums Tanzania Anayoyafanya mtoto wa Samia Suluhu yanafikirisha na kuumiza sana

    Ndio tunazijua mana biashara sio uchi kama unafichwa biashara ni kitu cha wazi mana sisi ndio wanunuzi kwaio mfanyabiashara tunamjua na fisadi tunamjua
  11. The Zanzibar Echo

    JamiiForums Tanzania Anayoyafanya mtoto wa Samia Suluhu yanafikirisha na kuumiza sana

    Viwanda wanaviuaa mwisho wanafanya makanisa wenzetu wanavifufua au kuvigeuza majengo mengine yenye maslahi ya wananchi wote. Mdano pale south Bend, indiana Us mayor wao Pete Butigieg
  12. The Zanzibar Echo

    JamiiForums Tanzania Anayoyafanya mtoto wa Samia Suluhu yanafikirisha na kuumiza sana

    Mm pia sjakulazimisha uje apa u comment mjinga wewe
  13. The Zanzibar Echo

    JamiiForums Tanzania Anayoyafanya mtoto wa Samia Suluhu yanafikirisha na kuumiza sana

    Haki haipiganiwi na mmoja kama tunavomuachia Tundu Lissu mana yake ikitokea nimefanikiwa nitakuja kua kama Hitler alivofanya pale Ujerumani. Sasa faida iko wapi
  14. The Zanzibar Echo

    JamiiForums Tanzania Heche anataka sera ya muafaka? amuomba Samia awaite mezani waongee

    Usaliti gani apo amefanya, Chadema inataka maridhiano ili hoja za za kubadilishwa kwa mifumo ya uchaguzi na katiba itekelezwe au mnataka aseme watu tushike mapanga na sime tuingie barabaran kuyadai hayo ili na yeye mum'bambikizie kesi mkamtese. Msenge mtoa post
Back
Top Bottom