Recent content by The Wing

  1. T

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Tetesi za usajili Ligi Kuu msimu wa 2026/27

    Yanga tafadhari timu yangu msimsajili Chobwedo, hiyo ni aina ya uchezaji ya Simba. Mwacheni akashindane mwendo na Libase Gueye.
  2. T

    JamiiForums Tanzania Kitendo cha Yanga Kujiandaa Kuikabili Simba Kwa Siku Tatu tu Baada ya Siku ya Mwananchi September 12 Ni Dharau Kubwa Kwetu Simba, Lazima Tuwaonyeshe

    Siku ya Mwananchi ni bonanza, ambapo wachezaji woote wanacheza. Sidhani kama nguvu kubwa inatumika.
  3. T

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded Mwenye taarifa ni lini bodi ya ligi na TFF watatoa tuzo za msimu wa 2024/2025

    Walikuwa wanagombea uongozi kwanza.
  4. T

    JamiiForums Tanzania Simba kumuaga Mkude ni kumnanga na kujikosha tu, asikubali

    Acha waagwe, mambo ya kuishi na vinyongo mtakufa bure.
  5. T

    JamiiForums Tanzania JEZI MPYA YA YANGA KUELEKEA MSIMU WA 25/26 MWANANCHI UMEIONAJE JEZI HII ?

    Uzi mkali Dunia nzima.
  6. T

    JamiiForums Tanzania Hivi Mzize ni wa kucheza nje kweli

    Mbona hujatuambia kwa nini sio wa kucheza nje? Yaani unakuja na hisia tu halafu uzi umekwisha. Tuambie kwa nini?
  7. T

    JamiiForums Tanzania Simba watajwa kwenye jezi ya Yanga Baada ya Mach 8 kukimbia mechi

    Sasa utaongea nini wakati una timu mbovu.
  8. T

    JamiiForums Tanzania CHAN 2024 | Quarter-Final | FULL TIME Tanzania 0-1 Morocco | Benjamin Mkapa Stadium | 22-08-2025 | Saa 20:00 Usiku

    Feisal mchezaji wa mechi ndogo ndogo.
  9. T

    JamiiForums Tanzania Wachezaji wa Taifa Stars kupewa Viwanja, Golikipa kuvuta Toyota Crown Asiporuhusu goli

    Hizo zawadi zao wangekaa nazo tu. Zawadi za kuwapa presha wachezaji.
  10. T

    JamiiForums Tanzania Yanga watafute kocha mwingine Folz sio kocha

    Mmezoea kusema hivyo hivyo.
  11. T

    JamiiForums Tanzania Yanga inapaswa kuchanga karata zao vizuri kwenye pre season

    Hii ni michezo ya kirafiki ila kelele nyingi. Ngoja tuone walau michezo mitano ndiyo tutapata tafsiri nzuri. Huko Rwanda Yanga ilijitahidi sana, mechi ya kwanza tu imefunga goli tatu na kuruhusu moja, tena makosa binafsi. Aucho aende tu muda wake Yanga umeisha, muda umeenda. Nawapongeza sana...
  12. T

    JamiiForums Tanzania Baada ya kugundua kuwa wamepigwa kwa Conte waliyemsifia na kumpamba sasa wameamua Kumrudisha Daktari wa Mpira Aucho

    Wataishi naye Milele? Kwamba bila Aucho Yanga haichezi? Huu ujinga ndiyo uliiharibu Simba kwa kukumbatia wachezaji wazee .
  13. T

    JamiiForums Tanzania Natabiri huu utakua msimu mbaya sana kwa timu yangu Yanga SC

    Tumeishawasamehe, sasa hivi tunaiunga mkono timu.
  14. T

    JamiiForums Tanzania Uchambuzi wa Hans Rafael Baada ya mechi ya Yanga na Rayon sports

    Idea ipo, mimi bado nawashangaa wanaomponda kocha. Yanga ilicheza kwa identity moja mwanzo mwisho, hicho ni kitu kikubwa mno kwa timu. Kilichobaki maelewano uwanjani kwa hao maingizo mapya.
Back
Top Bottom