Ushamba wetu tu, hatutaki kukubali mpira wa Afrika umekua. Sisi wenyewe timu za kaskazini huko zinatoa jasho kwetu huku, kwa hiyo hata hizo Nchi tunazozidharau zimeimarika.
Leo mbona kacheza vizuri sana. Ametoa krosi nzuri tu ya goli, amepress mwanzo mwisho bila kuchoka. Sema timu ya Yanga wachezaji wake wengi bado hawajawa na fitness nzuri akiwemo yeye. Baada ya muda timu zitalia mno.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.