Hii ni michezo ya kirafiki ila kelele nyingi. Ngoja tuone walau michezo mitano ndiyo tutapata tafsiri nzuri. Huko Rwanda Yanga ilijitahidi sana, mechi ya kwanza tu imefunga goli tatu na kuruhusu moja, tena makosa binafsi. Aucho aende tu muda wake Yanga umeisha, muda umeenda. Nawapongeza sana...
Idea ipo, mimi bado nawashangaa wanaomponda kocha. Yanga ilicheza kwa identity moja mwanzo mwisho, hicho ni kitu kikubwa mno kwa timu. Kilichobaki maelewano uwanjani kwa hao maingizo mapya.
Huyu kocha mnamuandama bure tu apewe muda. Kwa Mimi jana Yanga nimeiona ikicheza na kitu wazungu wanaita identity mwanzo mwisho. Kama ilivyokuwa kwa Ramovic. Yanga tangu mwanzo walikuwa wanachezea katikati na kupitisha mipira juu au chini kwa kasi kutengeneza hatari. Angalia magoli yote mawili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.