Recent content by The Wing

  1. T

    Kitendo cha Yanga Kujiandaa Kuikabili Simba Kwa Siku Tatu tu Baada ya Siku ya Mwananchi September 12 Ni Dharau Kubwa Kwetu Simba, Lazima Tuwaonyeshe

    Siku ya Mwananchi ni bonanza, ambapo wachezaji woote wanacheza. Sidhani kama nguvu kubwa inatumika.
  2. T

    Simba kumuaga Mkude ni kumnanga na kujikosha tu, asikubali

    Acha waagwe, mambo ya kuishi na vinyongo mtakufa bure.
  3. T

    Hivi Mzize ni wa kucheza nje kweli

    Mbona hujatuambia kwa nini sio wa kucheza nje? Yaani unakuja na hisia tu halafu uzi umekwisha. Tuambie kwa nini?
  4. T

    Simba watajwa kwenye jezi ya Yanga Baada ya Mach 8 kukimbia mechi

    Sasa utaongea nini wakati una timu mbovu.
  5. T

    Wachezaji wa Taifa Stars kupewa Viwanja, Golikipa kuvuta Toyota Crown Asiporuhusu goli

    Hizo zawadi zao wangekaa nazo tu. Zawadi za kuwapa presha wachezaji.
  6. T

    Yanga watafute kocha mwingine Folz sio kocha

    Mmezoea kusema hivyo hivyo.
  7. T

    Yanga inapaswa kuchanga karata zao vizuri kwenye pre season

    Hii ni michezo ya kirafiki ila kelele nyingi. Ngoja tuone walau michezo mitano ndiyo tutapata tafsiri nzuri. Huko Rwanda Yanga ilijitahidi sana, mechi ya kwanza tu imefunga goli tatu na kuruhusu moja, tena makosa binafsi. Aucho aende tu muda wake Yanga umeisha, muda umeenda. Nawapongeza sana...
  8. T

    Baada ya kugundua kuwa wamepigwa kwa Conte waliyemsifia na kumpamba sasa wameamua Kumrudisha Daktari wa Mpira Aucho

    Wataishi naye Milele? Kwamba bila Aucho Yanga haichezi? Huu ujinga ndiyo uliiharibu Simba kwa kukumbatia wachezaji wazee .
  9. T

    Natabiri huu utakua msimu mbaya sana kwa timu yangu Yanga SC

    Tumeishawasamehe, sasa hivi tunaiunga mkono timu.
  10. T

    Uchambuzi wa Hans Rafael Baada ya mechi ya Yanga na Rayon sports

    Idea ipo, mimi bado nawashangaa wanaomponda kocha. Yanga ilicheza kwa identity moja mwanzo mwisho, hicho ni kitu kikubwa mno kwa timu. Kilichobaki maelewano uwanjani kwa hao maingizo mapya.
  11. T

    Yanga watafute kocha mwingine Folz sio kocha

    Huyu kocha mnamuandama bure tu apewe muda. Kwa Mimi jana Yanga nimeiona ikicheza na kitu wazungu wanaita identity mwanzo mwisho. Kama ilivyokuwa kwa Ramovic. Yanga tangu mwanzo walikuwa wanachezea katikati na kupitisha mipira juu au chini kwa kasi kutengeneza hatari. Angalia magoli yote mawili...
Back
Top Bottom