idea ya biashara anayo na alishawahi kujiajiri kwa kutengeneza juice na kuuza kwenye migahawa ila alipata changamoto sehem anapouzia kwa kusababishiwa hasara ya mtaji wote aliokuwa nao. kwa hiyo amekwama ndio mana anatafuta kazi ili afanye kwa malengo akipata aendeleze biashara yake hiyo iliyokufa
Habari wana JF, Namtafutia kazi rafiki yangu wa karibu ni mdada, kazi za stationary boutique na zenye kufanana na hizo na ana experience nazo pia kwa miaka mitatu.Kwa yeyote mwenye access nazo naomba msaada Tafadhari. Anaishi Dar.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.