Nyumba yenye eneo kubwa inauzwa,ipo Kibaha kwa Mfipa,nyumba Ina vyumba vitatu,zikiwemo master mbili sebule kubwa na jiko.
Ukubwa wa eneo ni sqm 700 kwa 210,
Hati ipo.
Vyote hivyo vinauzwa kwa bei nafuu kabisa ya shilingi milioni sitini na saba(67000000), ni pazuri na panavutia sanaa.
Kwa maelezo...