Anahitajika mpishi wa kike anaejua kupika vyakula vya aina zote na vitafunwa.
Awe tayari kufanya kazi muda wowote. Mshahara tunaanza na Tsh. 120,000 kwa mwezi
Pm for more details nikuunganishe na boss wako
Nilikutana na mtu humu Jf miaka mitano nyuma mpaka leo tumekuwa kama ndugu watu huwa hawaamini kama tulikutana tu kwenye social media.
So if someone is luck enough he/she can get a true person from social media
Usiombe ukutane na mwanaume aliyetendwa zamani halafu ukafall in love nae yatakayokukuta hutaamini ndo kama wewe unavyowafanya wanawake wenzangu..mnatuumiza sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.