Recent content by The silent smile

  1. The silent smile

    JamiiForums Tanzania ME na KE njooni kwenye kikao cha Dharula hapa

    Dahh, pole sn, itakuwa ulijichanganya au huenda ali act lkn alikuelewa kweli🤣
  2. The silent smile

    JamiiForums Tanzania ME na KE njooni kwenye kikao cha Dharula hapa

    Vp, vyenyew havina ladha?
  3. The silent smile

    JamiiForums Tanzania ME na KE njooni kwenye kikao cha Dharula hapa

    Vipi, we mpaka sasa umemsaidia nini Lissu, au ndo nyie wanaharakati wa kwenye keyboard na sio action?.
  4. The silent smile

    JamiiForums Tanzania ME na KE njooni kwenye kikao cha Dharula hapa

    Twasubir matokeo
  5. The silent smile

    JamiiForums Tanzania ME na KE njooni kwenye kikao cha Dharula hapa

    Kumbe shkamoo yao haizuii kitu😄
  6. The silent smile

    JamiiForums Tanzania ME na KE njooni kwenye kikao cha Dharula hapa

    Sema dada angu umekuja na makasiriko sana, hakuna mtoto anayetumia mitandao ya kijamii, humu wote n watu wazima 18+, Sasa kam wewe n mwalimu wa nidhamu endelea tuu kusahhsha madaftari😄.
  7. The silent smile

    JamiiForums Tanzania ME na KE njooni kwenye kikao cha Dharula hapa

    Sawa dada
  8. The silent smile

    JamiiForums Tanzania ME na KE njooni kwenye kikao cha Dharula hapa

    Salam kwenu Wajumbe, Agenda kubwa ni SHKAMOO! Sote twajua kuwa linapokuja suala MAHUSIANO (MAPENZI) hasa pale unapoona kuna jimbo umelielewa huaga umri hautuzuii kutimiza malengo yetu (wanasema umri ni namba tu😄) Inatokea ME kuna ka KE ka elfu 2 umekaelewa mtaani kwako au popote pale, ile...
  9. The silent smile

    JamiiForums Tanzania Kuna lile jina halina maana mbaya ila hupendi mtu akuite. Litaje

    Yaan we acha tuu😄
  10. The silent smile

    JamiiForums Tanzania Kuna lile jina halina maana mbaya ila hupendi mtu akuite. Litaje

    Kwan age imesepa sana?
  11. The silent smile

    JamiiForums Tanzania Kuna lile jina halina maana mbaya ila hupendi mtu akuite. Litaje

    Dahh, hapo kwenye MKUU ndo umenikata kinyama, shenzz 😄😄
  12. The silent smile

    JamiiForums Tanzania Kuna lile jina halina maana mbaya ila hupendi mtu akuite. Litaje

    Au Big😄😄
  13. The silent smile

    JamiiForums Tanzania Kuna lile jina halina maana mbaya ila hupendi mtu akuite. Litaje

    Ktk vitu sinaga uvumilivu navyo basi ni kumtongoza mwanamke muda mrefu, mimi ninazo siku zangu 3 tu, za kuanzia kutongoza hadi kupata jibu. Zikivuka hizo na sijapata jibu lakueleweka basi najua kuwa nishatemwa. So, kama mwanamke atasema anizungushe ili ajue kama nipo serious basi mimi mtihani...
  14. The silent smile

    JamiiForums Tanzania Kuna lile jina halina maana mbaya ila hupendi mtu akuite. Litaje

    Unajiita mzee unataka kuninyima nini😋
  15. The silent smile

    JamiiForums Tanzania Kuna lile jina halina maana mbaya ila hupendi mtu akuite. Litaje

    Hapo sindo wamekuheshimisha sasa, maana Madam imekaa (mwanamke aliyepevuka kiakili na kifikra, anayejiweza kimaisha, muonekano mzuri na mwenye kipato chake au kazi nzuri) ndo maana inaanziaga shuleni😄
Back
Top Bottom