Jibu hapo ni ndio. Unaweza kufahamu pia kww urahisi tu; vita ya iraq usa imepiganwa wakati teknolojia ikiwa wazi kabsa, pili, ni vita ambayo haijazidi miaka 3. Vita ya mkwawa vs ujerumani imepiganwa kwa takribani miaka 8; wajerumani walikuwa na teknolojia kubwa zaidi kuliko mkwawa, unàweza...
Wadau naomba kufahamu kama ukiwa unahitaji kupata madaraja C ya leseni, unaweza kusomea C1, C2, C3, kila moja peke yake kwa nyakati tofauti au huwa zinaenda zote kwa pamoja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.