Waliokuwa wanamuuguza ndio hao hao walizusha...
Possibly, waliona dalili zote kuwa huyu hatoboi, lakini ghafla majini ya Kizimkazi kwa Chura Kiziwi, yakampa uhai wa muda..
Lakini, kwa muonekano wake tu, ni wazi anaumwa, afya yake + uzee unampeleka kaburini. Na hii ni kawaida, sio ajabu...