Recent content by The Palm Beach

  1. The Palm Beach

    JIKUMBUSHE (VIDEO): Tundu Lissu akisambaratisha hoja za watetezi wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar usio na ridhaa ya wananchi

    Hata Yesu Kristo kwa kuwa mkweli ilimgharimu kifo lakini chake kifo kilikuwa cha faida kubwa kwa ulimwengu wote na kwa kila binadamu. Ndivyo ilivyo kwa CCM. Hawa watu wa CCM wanaweza kukuua na ofcoz hawana hofu ya kumwaga damu ya yeyote msema ukweli, damu yenye faida kwao pekee.!!
  2. The Palm Beach

    Yanayoendelea ndani ya uongozi wa CCM na serikali yanatafakarisha

    Kwa ufahamu na akili yako ni pumba. Lakini unaweza kupingana na nature? Unafikiri shetani naye hafanyi miujiza? Unadhani shetani hatendi na kuleta matokeo? Je, kwa kuwa analeta matokeo unadhani anaweza kuchukua nafasi ya Mungu? And remember this. Two wrongs can't make right..! Forget about...
  3. The Palm Beach

    Tanzania yatajwa kuwa nchi ngumu kufanya biashara kutokana na uwepo wa vikwazo vingi

    Tatizo ni ubovu/udhaifu wa sera za kifedha/uchumi na mipango mibovu chini ya serikali inayoongozwa na CCM. Nchi zote zilizoendelea na zinazoendelea jicho na mkazo wa kukusanya Kodi huwa ni kwenye ku - exploit natural resources kama ardhi, madini, misitu, mbuga za wanyawa, maji (bahari, maziwa...
  4. The Palm Beach

    Yanayoendelea ndani ya uongozi wa CCM na serikali yanatafakarisha

    Ndugu Steven Joel Ntamusano, mwanaume akiwa kwenye nafasi yake sahihi (in his right position) akikosea, kamwe hiyo haiwezi kuwa ishu ya kujadili, huwa inaeleweka na huwa tunasonga mbele. Ni makosa makubwa kuruhusu mwanamke kuwa kwenye nafasi isiyo yake. Halafu anaharibu then watu wanaanza ku...
  5. The Palm Beach

    Yericko: Makonda Aitwe Bungeni,Tuhuma za Kesi ya Uhaini ya mawaziri, Na Generali Mobeyo Aitwe kueleza Bunge ukweli wa Kesi ya uhaini Uliofanyika 2021

    Aisee.. Huyu Makonda ana nguvu za giza hatari sana anazotumia kumpa nguvu kufanya afanyayo. Hivi inawezekanaje mtu aliyekosa uadilifu kwa uthibitisho (ushahidi) wa waziwazi kama huyu Makonda akaweza kum - blackmail kiongozi mkuu wa nchi (Rais) hata kumwamini na kumweka ktk mifumo ya uongozi wa...
  6. The Palm Beach

    Wito kwa Serikali yetu, Huu ni Udhalilishaji wa Bullying & Intimidation. Mbona Rais Samia Hadhalilishi? Tusiruhusu Udhalilishaji Huu Uendelee!

    Tatizo na upungufu wako ni mmoja tu. Kwamba kwa akili na ufahamu wako unadhani Paul Makonda ana moral authority ya kuwa treat viongozi wenzake kwa namna ile. Tunasema hivi; Likely, (labda) ni kweli kuna weaknesses kwa uongozi wa TARURA hapo Arusha ktk usimamizi na utendaji wa shughuli zao...
  7. The Palm Beach

    Uchaguzi mkuu kiti cha Rais 2025 (video): Unabii waweka wazi kuwa ni Samia S. Hassan (CCM) vs Bishop Josephat Gwajima (CHADEMA)...

    Huu ushuzi unatoka huko huko CCM na utawavuruga kwelikweli mpaka kusudi la Mungu litimie. Acha kuwasingizia CHADEMA wewe.
  8. The Palm Beach

    Uchaguzi mkuu kiti cha Rais 2025 (video): Unabii waweka wazi kuwa ni Samia S. Hassan (CCM) vs Bishop Josephat Gwajima (CHADEMA)...

    Hili nalo linawezekana.. Na kusema kweli, kwa haraka haraka hata mimi nimeiona hii picha, kwamba, a smart political game is being played here.. Na hawa jamaa wanaocheza mchezo huu kwa jinsi walivyo wajinga wakidhani watu hawataajua, wanaonesha kuwa hawamtaki huyu mwanamke wao huko CCM lakini...
  9. The Palm Beach

    Yanayoendelea ndani ya uongozi wa CCM na serikali yanatafakarisha

    Ishu hapa sio takwimu. Unaweza kufanya hili au lile lakini overall haikufanywi wewe uwe mwanamme. Elewa kuwa Samia Suluhu Hassan ni mwanamke... Afanye hili au lile, hiyo haindoi ukweli kuwa yeye ni mwanamke. Jinsia yake tu ya "kike" inam - disqualify kuwa kiongozi wa juu (Rais) wa nchi hii...
  10. The Palm Beach

    Uchaguzi mkuu kiti cha Rais 2025 (video): Unabii waweka wazi kuwa ni Samia S. Hassan (CCM) vs Bishop Josephat Gwajima (CHADEMA)...

    Duuh, ni unabii complicated sana huu kwa pande zote mbili yaani CCM na CHADEMA. Yaani unawapa faida CHADEMA zaidi (ushindi mwaka 2025) lakini wakati uohuo unawachanganya (contradict) kwa kuwataka kucheza mchezo hatari wa pata potea wa mwaka 2015 dhidi ya Edward Lowassa aliyetoka CCM pia dakika...
  11. The Palm Beach

    Yanayoendelea ndani ya uongozi wa CCM na serikali yanatafakarisha

    1. Hoja ya jinsia ya mwanamke na uanamke wa Samia Suluhu Hassan ina - matter and it's so powerful kuliko unavyowaza ndugu Steven Joel Ntamusano. 2. I agree that, Rais Samia Suluhu Hassan binadamu tu kama ulivyo wewe. Lakini yeye ni MWANAMKE na wengine ni WANAUME. Hiyo ndiyo tofauti kuu. Na...
  12. The Palm Beach

    Yanayoendelea ndani ya uongozi wa CCM na serikali yanatafakarisha

    Mkiwa na Rais mwanamke wa nchi kama ya Tanganyika yenye taasisi kama Bunge, mahakama, TISS, PCCB, AG nk dhaifu katika kusimamia utendaji wa serikali mnategemea nini? Ni lazima mambo yawe hovyo tu kwa sababu pembeni mwa mwanamke huyu lazima atakuwepo mshauri au kundi la washauri wanaume waovu...
  13. The Palm Beach

    Kwanini Mdude Nyagali anatumia lugha za kumdhalilisha Rais wetu pasipo kuchukuliwa hatua? Naumia sana moyoni mwangu

    Hakuna lugha yoyote ya kumdhalilisha mtu akiwemo huyo Rais wenu anayotumia Mdude Nyangali.. "Lugha ya kudhalilisha" basically ni tafsiri ya mtu mwenyewe.. Shida ya viongozi na wafuasi wa CCM ni kuona kuwa lugha kali na ngumu inayotumiwa na umma kukosoa udhaifu na uchafu wa matendo ya viongozi...
  14. The Palm Beach

    CHADEMA chukueni kikotoo kama agenda muhimu ya uchaguzi

    Kwa hiyo ufanyeje sasa? Usiombe kura za watumishi wa umma kwa sababu hii unayoitoa wewe? Really? Kama uchaguzi "sio serious" huwa mnashiriki kwa vigezo vipi? USHAURI WA BURE KWAKO: 1. Pambaneni kuhakikisha uchaguzi unakuwa "serious" kama ulivyosema au acheni kabisa kushiriki kwa sababu...
  15. The Palm Beach

    CHADEMA chukueni kikotoo kama agenda muhimu ya uchaguzi

    Yes, ni kweli kabisa... Lakini tuwe tunapenda au hatupendi, kushawishi watu wakupigie kura kwa sera na mipango ya maendeleo mizuri inayowavutia watu ni jambo la kwanza na la muhimu kabisa.. Kudhibiti wizi wa kura ni issue manually na inaweza kufanyika kiranisi... Na kwa kweli, hili tukiamua...
Back
Top Bottom