"...Mimi ni mwanachama CCM, mjumbe wa Halmashauri kuu ya CCM ambaye hakubali uonevu, hakubali utekaji na ambaye hakubali ufisadi. Mimi nimedhamiria kusimama na wananchi mpaka mwisho..."
Hii ndio kauli iliyowakwaza watawala waovu wa serikali dhalimu ya Samia Suluhu Hassan na CCM yake hata...
Lumumba B7 bhana..
Mtageuza kila theory ili ku - fit narratives zenu wakati huo huo mkijifariji kwa kudhani kuwa mtainywa damu ya huyu mwamba juu ya madhabahu zenu za majini ya Zanzibar na Kizimkazi mashetani nyie...
Whether you like it or not, Tundu Lissu is truly sio mwoga, haogopi lolote na...
Tafsiri hii ndiyo imekaa vizuri zaidi japo hata ya britanicca mwenyewe nayo Iko poa pia with some few slight differences
===========
britanicca 👇👇
Huyu anaitwa Emmanuel Nchimbi, Makamu wa Rais alofukuzwa uanachama na kupoteza nafasi yake kisa
1. Kutetea wananchi wanaopotezwa na polis Tanzania
2...
Huko mahakamani DPP na mawakili wake, wameshindwa kabisa kuthibitishwa kosa la uhaini lililotengenezwa (bumbwa) ndani ya ofisi ya DCI Ramadhani Kingai..
Badala yake wameanza kuutafuta uhaini kwenye pesa za TONETONE labda inawezekana Tundu Lissu hayo mabomu na bunduki za kufanyia uhaini...
Mzizi wa fitina umekatwa leo...
Machawa na wahongwa pesa za Lumumba wote wameufyata, na wakome kabisa...
Na bado waliomfuata usiku kumshawishi akubali kuhongwa ampe nafuu Samia, wote watajulikana at the right time...
Ulipoteleaga wapi Mzee VUTA-NKUVUTE?
Uzi wako huu umeibuka tu leo kama gugu maji linaloelea juu ya maji ya Ziwa Viktoria..!
Maana alipotea Polepole tu na wewe ukapotea..!
Anachonifurahisha Henry Kilewo ni kuwa yuko huko ubwabwani (CHAUMMA) lakini nafsi na roho yake zimeshikamanishwa na CHADEMA..
Hawa kina Henry Kilewo, Benson Kigaila, Yericko Nyerere, Lembros Mchome, John Mrema, na wengine waliotimkia ubwabwani ni kama wanawake walioolewa kwa ndoa za mkeka (kwa...
Inawezekana kaja kivingine baada ya mkataba wake kuwa terminated kwa kushindwa kuwezesha ushindi katika vita ile ya against nyaturu Tundu boy...
Usishangae pengine akawa ndio miongoni mwa hawa Lucas Mwashambwa au Tlaatlaah au Dr wa Manesi au Troll JF au akawa na miongoni mwa Chawa wengi humu
Ni Tlaatlaah
Humwaambii kitu kuhusu Nchimbi.
Tangu Dr Emmanuel Nchimbi aliwe kichwa na wenzake, Tlaatlaah kapoa kwelikweli, hofu na woga umemkamata. Hajui hatima yake. Na labda pengine hata yeye keshatekwa, hajulikani yuko kwenye "house arrest" ipi..
Wamebaki Chawa Team Samia wenye roho...
Kwani kusema "huyu mkuu wa majeshi naye msengerema tu" kwa tafsiri yako hili ni tusi...?
Tafsiri ya tusi kutoka ktk kauli fulani ya mtu ni ya mtu mwenyewe..
Kama wewe umeona ni tusi, thibitisha hivyo kwa kwenda mahakamani kupata tafsiri iwapo hilo ni tusi au kauli tu ya kuudhi..
Silaha kuu...
Na ndicho kinachotafutwa kwa tochi, kutafuta hatia, watangaze hukumu yake...
Lakini kwa hali halisi, kesi hii hai - qualify kwenye standard za uhaini na za jinai kwa kiwango chochote...
Kama walivyoshindwa kumkuta na hatia katika mamia ya kesi waliyowahi kumshitaki nayo, hii nayo hakuna sheria...
Kwani hujiuilizi Mzee Warioba ni nani?
Nyie mnaouliza mtathibitishaji kama mleta mada anachosema ni kweli, obvious ni sawa tu na wanaojiuliza tutathibitishaji kama kweli Warioba alimpigia hiyo simu..!
Hii ni michezo tu TISS. Warioba naye ni walewale, he can not be trusted 100%....
Very low mind Iko hewani...
Sina hakika hata kama anaelewa anazungumza nini..
Anachokisema hapa kina maana ya kuwa CHADEMA wakubali kuhongwa na Abdul na Samia ili Lissu atolewe gerezani..!
This is very stupid mind..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.