Recent content by The Palm Beach

  1. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Majibu Yangu Kwa Baraza La Maaskofu Katoliki TEC Na Padre Charles Kitima Juu Ya Hoja Ya Kuombana Msamaha kwa kile kilichotokea Uchaguzi Uliopita

    This is very ridiculous...! Eti Tume... Yaani ajambe yeye halafu anaunda Tume kuchunguza nani kajamba na ushuzi unanuka kutokea kwa nani..!!??? Sikiliza ndugu Lucas Mwashambwa, hatia haiondoki kwa ulaghai na udanganyifu. Hatia huondoka kwa kukubali kuwa umekosea, kisha unaomba radhi na...
  2. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Msigwa: Tuhuma za Tanzania kuingilia Uchaguzi Mkuu wa Zambia sio za kweli ZIPUUZWE

    Uandishi wa Gerson Msigwa ni very unprofessional ukiwa na makosa na kujichanganya kwingi.. Actually hii ni ndiyo lugha ya watu waongo waongo, wadanganyifu na waliojaa hadaa ndani ya serikali haramu ya CCM chini ya Samia Suluhu Hassan.. Msigwa anasema: "...Serikali ya Tanzania imezisikia...
  3. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Mhadhiri wa UDOM, Dkt. Kaijage akatiwa Umeme, Maji baada ya kupewa kesi ya Ugaidi

    Wanakukatia kwa kuchomoa fyusi hata kama huduma ni prepaid... Anything evil is possible for Samia Suluhu Hassan..!
  4. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Brian Mundubile: Zambia sio Tanzania. Adai kuwa mbinu za kuiba kura zinazotumika Tanzania zinatumiwa Zambia kwenye Taifa la Kikristo

    Looh! Kumbe Hakainde Hichilema alikuja Tanzania kujifunza mbinu za wizi wa kura kwa kuua raia toka kwa CCM na Samia wao? Na Samia Suluhu Hassan alienda kujifunza toka kwa Yoel Museven wa Uganda...!! Muungano wa wafalme wachawi na wauaji wakijaribu kuokoa himaya na tawala zao... They will...
  5. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Majibu Yangu Kwa Baraza La Maaskofu Katoliki TEC Na Padre Charles Kitima Juu Ya Hoja Ya Kuombana Msamaha kwa kile kilichotokea Uchaguzi Uliopita

    Very fine then... Sasa tunataka kujua kumbe ni nani aliua maelfu ya Watanganyika wenzetu 29/10 na siku zilizofuata? CHADEMA na Tundu Lissu siyo? Kwamba hawa CHADEMA ndio walifungua maghala ya silaha za kijeshi na kutapakaa mitaani kuua watu hovyo..???? Kama sio hao maelfu, basi ingalau wale...
  6. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Mhadhiri wa UDOM, Dkt. Kaijage akatiwa Umeme, Maji baada ya kupewa kesi ya Ugaidi

    Imekatiwa umeme na maji na huduma zingine zote muhimu kwa maana ipi? Kwamba wamekatiwa tu kwa sbb serikali haitaki wawe na huduma hizo ili wafe au ni kwa sababu wameshindwa kumudu kulipia gharama (bills) za huduma hizo kwa sbb hawana fedha tena kwa kuwa baba yao yuko gerezani..? Fafanua...
  7. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania uchambuzi wa press ya Fr. Kitima/TEC: Kiongozi anapo apishwa lazima tumtii. Hata kama alipindua serikali? Hata kama aliiba kura in a bright day light?

    Hapa nakubaliana na wewe... Na watu hatujui tu au hatukumbuki au hatusomi historia.. Mfano Wajerumani walitawala Tanganyika ikiwa sehemu ya East African German Colony kwa miongo mingi tu. Kwani walikuwa wanatutawala kihalali..? Jibu ni hapana, walikuwa wanatawala kimabavu na kiharamia...
  8. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania uchambuzi wa press ya Fr. Kitima/TEC: Kiongozi anapo apishwa lazima tumtii. Hata kama alipindua serikali? Hata kama aliiba kura in a bright day light?

    In fact, sio "kumtii" bali kujua na kuelewa kuwa nchi/taifa lina mkuu wa nchi mwenye mamlaka ya kisheria na kikatiba na kwa sisi hapa anaitwa - Rais bila kujali alipatikanaje... Huu ndio ukweli usioweza kukanushika... Na in fact, hata kama alipindua nchi na akatwaa madaraka na mamlaka ya...
  9. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Kwa maoni yangu naona lengo la TEC ni kunawa mikono kwamba tulionya kabla na tumeonya baada Kwa wazi Kwa Siri damu iwe juu vichwa vyenu wenyewe

    Ungeishia tu pale... Lakini hayo maneno mawili (niliyoyakolezea wino mweusi ) ya mwisho, ni kitanzi kwako. Nakushauri yafute.. Kusamehe ni kwa faida yako wewe unayesamehe, na si kwa unayemsamehe kwa sababu msamaha unakutulisha mzigo chini.. Usikae na mizigo isiyo na sababu... Wasamehe tu na...
  10. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Majibu Yangu Kwa Baraza La Maaskofu Katoliki TEC Na Padre Charles Kitima Juu Ya Hoja Ya Kuombana Msamaha kwa kile kilichotokea Uchaguzi Uliopita

    Pole weee.. Haina shaka kuwa, huna majibu.. Unaweza kwenda kulala sasa..
  11. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Jinsi laana ya kushiriki Uapisho wa Samia inavyomtafuna Hichilema

    Sanduku la kura linamkataa, siyo..?
  12. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Majibu Yangu Kwa Baraza La Maaskofu Katoliki TEC Na Padre Charles Kitima Juu Ya Hoja Ya Kuombana Msamaha kwa kile kilichotokea Uchaguzi Uliopita

    Maelezo yako yapi..? I asked you a simple question based on your own explanation above, kwamba👇🏻👇🏻👇🏻 Tunasema Samia na genge lake wanapaswa kuomba msamaha kwa sababu waliua ndugu zetu 29/10.. Haya, sema na wewe: Father Kitima au TEC unataka waombe msamaha kwa kosa gani, kwa nani na wapi...
  13. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Mzee Joseph Butiku, Respect is not granted like a cake on the plate. Respect for public leaders is earned!!

    Well said.. Thank you, sir/madame..!
  14. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Majibu Yangu Kwa Baraza La Maaskofu Katoliki TEC Na Padre Charles Kitima Juu Ya Hoja Ya Kuombana Msamaha kwa kile kilichotokea Uchaguzi Uliopita

    Tunasema Samia na genge lake wanapaswa kuomba msamaha kwa sababu waliua ndugu zetu 29/10.. Haya, sema na wewe: Father Kitima au TEC unataka waombe msamaha kwa kosa gani, kwa nani na wapi..? Au alikuchukulia mumeo/mkeo..??
  15. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Majibu Yangu Kwa Baraza La Maaskofu Katoliki TEC Na Padre Charles Kitima Juu Ya Hoja Ya Kuombana Msamaha kwa kile kilichotokea Uchaguzi Uliopita

    Samia anaunda tume za kutafuta vichochezi na wachochea vurugu tu... Lakini hataki kuunda tume za kuwatambua na kuwakamata walioua Watanzania kwa risasi za moto na kisha mkono wa sheria uchukue hatua yake..! NA JIBU LA HOJA HII LINAELEWEKA: Samia ndiye aliyeua ndugu zetu kwa AMRI YAKE sbabu...
Back
Top Bottom