Recent content by The Palm Beach

  1. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Askofu Josephat Gwajima: Mungu hachelewi kutimiza ahadi yake. Utekaji umezidi. Maisha ya watu yanaharibika. Mungu atajibu kwa upanga

    "...Mimi ni mwanachama CCM, mjumbe wa Halmashauri kuu ya CCM ambaye hakubali uonevu, hakubali utekaji na ambaye hakubali ufisadi. Mimi nimedhamiria kusimama na wananchi mpaka mwisho..." Hii ndio kauli iliyowakwaza watawala waovu wa serikali dhalimu ya Samia Suluhu Hassan na CCM yake hata...
  2. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Kisaikolojia ukijinadi wewe sio muoga uhalisia wake wewe ni muoga

    Lumumba B7 bhana.. Mtageuza kila theory ili ku - fit narratives zenu wakati huo huo mkijifariji kwa kudhani kuwa mtainywa damu ya huyu mwamba juu ya madhabahu zenu za majini ya Zanzibar na Kizimkazi mashetani nyie... Whether you like it or not, Tundu Lissu is truly sio mwoga, haogopi lolote na...
  3. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Nchimbi is not a cadaverous fish drifting pro forma with every current. He is piscis vivus

    Tafsiri hii ndiyo imekaa vizuri zaidi japo hata ya britanicca mwenyewe nayo Iko poa pia with some few slight differences =========== britanicca 👇👇 Huyu anaitwa Emmanuel Nchimbi, Makamu wa Rais alofukuzwa uanachama na kupoteza nafasi yake kisa 1. Kutetea wananchi wanaopotezwa na polis Tanzania 2...
  4. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Sio rahisi kuachiwa kuachiwa kirahisi

    Huko mahakamani DPP na mawakili wake, wameshindwa kabisa kuthibitishwa kosa la uhaini lililotengenezwa (bumbwa) ndani ya ofisi ya DCI Ramadhani Kingai.. Badala yake wameanza kuutafuta uhaini kwenye pesa za TONETONE labda inawezekana Tundu Lissu hayo mabomu na bunduki za kufanyia uhaini...
  5. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Lissu: Nipo tayari kukaa gerezani mpaka haki itakapopatikana

    Mzizi wa fitina umekatwa leo... Machawa na wahongwa pesa za Lumumba wote wameufyata, na wakome kabisa... Na bado waliomfuata usiku kumshawishi akubali kuhongwa ampe nafuu Samia, wote watajulikana at the right time...
  6. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: Turufu pekee iliyobaki kwa Rais Samia

    Ulipoteleaga wapi Mzee VUTA-NKUVUTE? Uzi wako huu umeibuka tu leo kama gugu maji linaloelea juu ya maji ya Ziwa Viktoria..! Maana alipotea Polepole tu na wewe ukapotea..!
  7. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Henry Kilewo: CHADEMA ya sasa sio ile iliyopita, hii achaneni nayo

    Anachonifurahisha Henry Kilewo ni kuwa yuko huko ubwabwani (CHAUMMA) lakini nafsi na roho yake zimeshikamanishwa na CHADEMA.. Hawa kina Henry Kilewo, Benson Kigaila, Yericko Nyerere, Lembros Mchome, John Mrema, na wengine waliotimkia ubwabwani ni kama wanawake walioolewa kwa ndoa za mkeka (kwa...
  8. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania An extreme coincedence? Kuanguka kwa Mbowe na kupotea kwa Johnthebaptist!

    Inawezekana kaja kivingine baada ya mkataba wake kuwa terminated kwa kushindwa kuwezesha ushindi katika vita ile ya against nyaturu Tundu boy... Usishangae pengine akawa ndio miongoni mwa hawa Lucas Mwashambwa au Tlaatlaah au Dr wa Manesi au Troll JF au akawa na miongoni mwa Chawa wengi humu
  9. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Huyu Chawa alikuwa ni Team Dr Emmanuel Nchimbi. Kapigwa na kitu kizito mpaka haamini!

    Your wish is: KUFA NAYE UKIMTETEA.. I say, your wish has been granted in the name of the Living Almighty God..!
  10. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Huyu Chawa alikuwa ni Team Dr Emmanuel Nchimbi. Kapigwa na kitu kizito mpaka haamini!

    Ni Tlaatlaah Humwaambii kitu kuhusu Nchimbi. Tangu Dr Emmanuel Nchimbi aliwe kichwa na wenzake, Tlaatlaah kapoa kwelikweli, hofu na woga umemkamata. Hajui hatima yake. Na labda pengine hata yeye keshatekwa, hajulikani yuko kwenye "house arrest" ipi.. Wamebaki Chawa Team Samia wenye roho...
  11. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Kabla hujatukana Serikali, kwanza elewa Serikali ni nini?

    Kwani kusema "huyu mkuu wa majeshi naye msengerema tu" kwa tafsiri yako hili ni tusi...? Tafsiri ya tusi kutoka ktk kauli fulani ya mtu ni ya mtu mwenyewe.. Kama wewe umeona ni tusi, thibitisha hivyo kwa kwenda mahakamani kupata tafsiri iwapo hilo ni tusi au kauli tu ya kuudhi.. Silaha kuu...
  12. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu akiwa "Kingmaker" atakuwa hatari zaidi kwa CCM

    Na ndicho kinachotafutwa kwa tochi, kutafuta hatia, watangaze hukumu yake... Lakini kwa hali halisi, kesi hii hai - qualify kwenye standard za uhaini na za jinai kwa kiwango chochote... Kama walivyoshindwa kumkuta na hatia katika mamia ya kesi waliyowahi kumshitaki nayo, hii nayo hakuna sheria...
  13. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Evarist Chahali (JasusiTV): Dr Emmanuel Nchimbi Yuko mahututi; Taarifa kamili hii hapa

    Kwani hujiuilizi Mzee Warioba ni nani? Nyie mnaouliza mtathibitishaji kama mleta mada anachosema ni kweli, obvious ni sawa tu na wanaojiuliza tutathibitishaji kama kweli Warioba alimpigia hiyo simu..! Hii ni michezo tu TISS. Warioba naye ni walewale, he can not be trusted 100%....
  14. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Donald Felix Mwembe: Lissu amekaa sana gerezani inauma, Heche akubali maridhiano atoke

    Very low mind Iko hewani... Sina hakika hata kama anaelewa anazungumza nini.. Anachokisema hapa kina maana ya kuwa CHADEMA wakubali kuhongwa na Abdul na Samia ili Lissu atolewe gerezani..! This is very stupid mind..
  15. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Evarist Chahali (JasusiTV): Dr Emmanuel Nchimbi Yuko mahututi; Taarifa kamili hii hapa

    Kumbe hiyo TISS mkurugenzi wake (DGIS) ni nani unadhani? Ni huyo unayemjua, au siyo..? Hujui kuwa mkuu wa TISS ni Abdul mtoto wa Samia?
Back
Top Bottom