Wanadhani wazungu ni watu vigeugeu wa sampuli ya kina Samia "mswahili" wanaoweza ku - compromise na principles za Umoja wa na zile zilizo ktk mikataba ya kimataifa...
Ndiyo maana yake...
Ni kweli Samia ni binadamu na ametutaarifu kuhusu ubinadamu wake wa "kujisahau kuzima mic😀..."
Kwanini wewe unaupeleka kwenye chuki...?
Ingekuwa kila mtu ana fikra kama zako, basi magazeti, TV, vituo vya redio, social media na news media zingine zisingekuwa na cha...
Nimeusoma ujumbe huu wa Mch. Peter Msigwa kule kwenye page yake ya ukurasa wa X nikagundua mara Moja kuwa, mtu mwenye mtazamo wa namna hii kamwe hawezi kukaa ktk ushirika wa ma-CCM wasikuone wewe ni adui..
Peter Msigwa alikuwa ni NURU katikati ya GIZA (CCM). Na NURU na GIZA havijawahi kupatana...
Katika demokrasia:
👉Mahakama ni kubwa kuliko Jaji Mkuu.
👉Bunge ni kubwa kuliko Spika.
👉Taifa ni kubwa kuliko Rais.
👉Katiba ni kubwa kuliko chama tawala.
Hii ni kwa sababu taasisi zinapaswa kudumu, wakati viongozi ni wa muda.
1. TAIFA NI KUBWA KULIKO RAIS
Rais ni kiongozi wa muda.
Taifa ni la...
1. Hiyo siyo barua aliyoandikiwa muhusika, hiyo ni "PRESS RELEASE" au "TANGAZO/TAARIFA KWA UMMA"
2. Bila shaka kwenye barua official aliyoandikiwa itakuwa imezingatia yote yanayokutia mashaka..
3. Said Issa Mohamed hawezi kutumia taarifa hii kukatia rufaa kama akitaka bali atatumia barua...
Kama si mfuatiliaji wa siasa za Bongo, huwezi kuzielewa hizi code...
Ngoja nisaidie kuzifungua baadhi:
KM = Kassimu Majaliwa
Blaza = John P. Magufuli
Maza = Samia
Balozi = Dr Emmanuel Nchimbi (VP)
Maskafu = Mwigulu Nchemba
Mkoko = Simai (yule mbunge mzanzibar aliyemuita balozi "Yuda")...
Hii ya "sera yetu ya nje ni ya kutofungamana na upande wowote" is too theoretical than practical..
Katika dunia ya Leo na hususani kwa nchi masikini ikiwemo Tanganyika yetu, workability ya sera hii ni almost zero, impossible...
Kama nchi/taifa mnaweza kufikiri hamfungamani na upande wowote...
1. Hili sio swala la kuwa ameandaliwa na wasaidizi wake au la. Ni ujinga na uzembe wake tu wa kutojielimisha binafsi ili ku-sharpen ufahamu na uelewa wake juu ya masuala ya Kitaifa na kimataifa ktk international politics & diplomacy, biashara na utamaduni...
2. Huyu ndiye Rais wa kwanza...
Hiyo ni habari kubwa. Lakini kwako wewe mwenye akili ndogo zisizoweza kuchunguza kila jambo na kulipa tafsiri sahihi ya maana yake HUWEZI kuelewa, utaona ni jambo la kawaida tu kama kudondosha tonge la ugali wa mchuzi wa samaki😀...
Kuvikwa kofia maalumu kichwani ni ISHARA ya kupewa mamlaka...
Ni sahihi..
Lakini, hawa watu hawaelewi haya...
Their intelligence of conscience has been taken up by their stupid and fateful dangerous egos...
They're lost. They are absolutely going to die..
Pamoja na kuwa Tanzania ina haki ya kuwa na mahusiano ya kirafiki na nchi yoyote duniani kwa kadri inavyowezekana, kwa maoni yangu safari ya kuelekea Moscow imefanyika katika wakati ambao si muafaka kisiasa na kidiplomasia...
Katika kipindi ambacho Marekani na Umoja wa Ulaya tayari wameonyesha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.