Recent content by The Palm Beach

  1. The Palm Beach

    Makala ya Mwandishi David Maphone inaonesha kuwa Samia na Serikali yake wamechukua njia ngumu ya kumalizana na yaliyotokea Oktoba 29

    Hii ni makala ya mmoja wa machawa wa mama Samia. Kila mtu aisome, kisha aone ujinga na upumbavu ulio ndani ya vichwa na mawazo ya hawa jamaa kisha tia neno. Hata kama unakubaliana, wewe unga tu tela hilo la ujinga maana huo ndio uhuru wa mawazo na kuchagua upande Usishangae sana kwa kuwa makala...
  2. The Palm Beach

    Taifa la Ovyo namna hii!

    Huu ni ushahidi kuwa hawa washenzi wanakulana wenyewe ndani ya CCM na serikali yao haramu Na bado. Watamalizana wao kwa wao na watasemana tu nani alifanya nina kwenye mauaji ya halaiki ya MO29
  3. The Palm Beach

    Ninasikitishwa na kuumizwa sana ninapoona Sativa akitukana na kudhalilisha Viongozi wetu

    Ni wewe huwezi kufanya hivyo.... Lakini yeye kafanya hivyo..... After all, ni afadhali hao wanaambulia matusi tu, lakini hao wanaotukanwa walimtesa na kumuua vibaya lakini Mungu Yahweh akamfufua toka kwa wafu... Sativa hana wazazi sio....? Sativa kazaliwa na nyani sio....? Wazazi wa Sativa ni...
  4. The Palm Beach

    Aliyetishia kumuua Lukuvi akamatwe na kuhojiwa

    Hii kauli ya "tutamstaafisha kwa nguvu" ya huyu tumbotumbo bonge ina tofauti yoyote na "tutakinukisha kwelikweli" ya Tundu Lissu...? Obvious, hakuna tofauti....!! Kauli zote hizi mbili zinaangukia ktk kundi la "sentensi tata" au "ambiguous sentence" kwa lugha ya malkia... Kwanini...? Ni kwa...
  5. The Palm Beach

    MKURUGENZI WA SHERIA CHADEMA: Mrejesho wa shauri la marejeleo Na. 8323/2026 na Kesi ya Msingi ya mgawanyo wa mali na maombi madogo Na. 8960/2025

    Na nilichojifunza kingine ni hiki: Kumbe wale mawakili wa Said Issa Mohammed ni weupe hawana lolote, wanabebwa na mfumo tu ambao umekita mizizi mpaka huko mahakamani ukiwatumia mahakimu na majaji kama Hamidu Mwanga kujitoa ufahamu na kufanya maamuzi ya kijinga
  6. The Palm Beach

    MKURUGENZI WA SHERIA CHADEMA: Mrejesho wa shauri la marejeleo Na. 8323/2026 na Kesi ya Msingi ya mgawanyo wa mali na maombi madogo Na. 8960/2025

    Mahakama ya Rufaa, iliyoketi jijini Dodoma jana ilipata maelezo kutoka kwa mawakili wa wadawa kuhusiana na marejeo ya shauri la madai Na. 8323/2026 shauri la msingi, pamoja na Maombi madogo namba 8960/2025 maombi ya zuio kwa Chama kufanya shughuli za kisiasa na kutumia mali za chama. Kuhusiana...
  7. The Palm Beach

    Zungu aongoza kikao cha Tume ya Utumishi wa Bunge

    Waliokuwa wanamuuguza ndio hao hao walizusha... Possibly, waliona dalili zote kuwa huyu hatoboi, lakini ghafla majini ya Kizimkazi kwa Chura Kiziwi, yakampa uhai wa muda.. Lakini, kwa muonekano wake tu, ni wazi anaumwa, afya yake + uzee unampeleka kaburini. Na hii ni kawaida, sio ajabu...
  8. The Palm Beach

    Prof. Anna Tibaijuka: Kutumia Mahakama kudhoofisha Vyama vya Upinzani hakujawahi kuleta ushindi kwa Serikali wala kuviua Vyama vya Upinzani

    Andiko hili la Prof. Anna Tibaijuka limewaudhi sana Chawa wa Samia Suluhu Hassan, muuaji na mtesaji wa ndugu zetu Watanganyika... Wengine hasa wale washenzi na wenye akili za kujaa kwenye kizibo cha soda, wanamsagia meno kiasi cha kumtaka ahamie CHADEMA kama anaipenda... Lakini ukisoma andiko...
  9. The Palm Beach

    Lissu awasilisha maombi kwa hati ya dharura Mahakama ya Rufani

    Shetani mkubwa wewe 👉🏻👉🏻👉🏻 MamaSamia2025 Mteke na kuua watu nyie, mfile mikundu ya watu nyie, mlawiti watu nyie halafu mnataka Tundu Lissu awaombe msamaha..!!?? You look so ignorant, foolish and stupid... Mimi nakuapisha na ushindwe kwa jina la Yesu Kristo...💪🏻💪🏻💪🏻 Tundu Lissu haombi msamaha...
  10. The Palm Beach

    From Ukonga Prison: Ikulu ilituma ujumbe mwingine kumtaka mwamba akubali "msamaha" wa Mama. Tundu Lissu akataa, amwambia afute kesi kwa kuwa ni uongo

    Tangu lini wee Jokate Mwogelo ukawa na akili za ku - argue..? Kesho uwahi ofisini kwa Kenani Kihongosi mapema Lumumba kufanya usafi wa ofisi. Ana wageni. Umesikia..?
  11. The Palm Beach

    From Ukonga Prison: Ikulu ilituma ujumbe mwingine kumtaka mwamba akubali "msamaha" wa Mama. Tundu Lissu akataa, amwambia afute kesi kwa kuwa ni uongo

    Halafu mtu mmoja tu alipanga kupindua serikali kwa maneno ya hotuba iliyorushwa live kwenye ONLINE TELEVISION.. Bongo ya Samia ni ujinga na upumbavu mtupu..
  12. The Palm Beach

    From Ukonga Prison: Ikulu ilituma ujumbe mwingine kumtaka mwamba akubali "msamaha" wa Mama. Tundu Lissu akataa, amwambia afute kesi kwa kuwa ni uongo

    Inasemakana Ikulu ya Samia ilituma wasaidizi wake tena Gereza la Ukonga kuonana na Tundu Lissu Wakamwambia Mhe. Lissu kwamba mama yao yupo tayari kumsamehe Mhe. Lissu ila sharti lake ni moja akubali kuipeleka CHADEMA kwenye maridhiano. Mhe. Lissu aliwauliza: "....Anisamehe kwa kosa gani wakati...
  13. The Palm Beach

    PreGE2025 Nayaona haya kwa Tundu Lissu na CHADEMA nikiwa kama 'political strategist'

    Ru Rudi tena "political strategist" uchwara ufanye tathmini ya andiko lako uchwara Uchaguzi ulifanyika haukufanyika? CHADEMA walishiriki au walikuwa wanatikisa kiberiti tu? UCHAGUZI HAUKUFANYIKA, BI MSUMI alijitangaza kwa lazima akiua kaka na dada zako; mama na baba zako pamoja na watoto...
  14. The Palm Beach

    Heche adai mahakama inatumika kumkandamiza Lissu

    Hakuna anayesema isitishwe kienyeji bila kufuata utaratibu wa kisheria ambao ni haki yote. Tunataka hiki ndicho kifanyike: Mlango waliomuingizia ndiyo huohuo wamtolee kwa kusema kwa sauti kubwa kuwa "DPP HANA NIA YA KUENDELEA NA SHAURI HILI...!!" Kinacholeta haya yote ni kuwa Samia anataka...
  15. The Palm Beach

    Kwa mara ya kwanza natofautiana na Mange Kimambi juu ya msimamo wa Iran

    Wewe nawe bendera fuata upepo tu... Nani kakuambia kuwa huyo mnayemwita mtume Mohammad ni mungu? Huyo ni binadamu tu aliyejipenyeza na kujiita mtume wa mungu wakati ni mtoto aliyezaliwa kwa mapenzi ya mume na mke... Kawa - manipulate na kuwatengenezea sheria za kidini, nanyi kwa ujinga wenu...
Back
Top Bottom