Recent content by The Palm Beach

  1. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Kombo aenda ubalozi wa EU Tanzania kuzungumzia vikwazo

    Wanadhani wazungu ni watu vigeugeu wa sampuli ya kina Samia "mswahili" wanaoweza ku - compromise na principles za Umoja wa na zile zilizo ktk mikataba ya kimataifa...
  2. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Je, Samia Suluhu hajui kuzima MIC za Urusi? Putin ainglia kati kumsaidia

    Ndiyo maana yake... Ni kweli Samia ni binadamu na ametutaarifu kuhusu ubinadamu wake wa "kujisahau kuzima mic😀..." Kwanini wewe unaupeleka kwenye chuki...? Ingekuwa kila mtu ana fikra kama zako, basi magazeti, TV, vituo vya redio, social media na news media zingine zisingekuwa na cha...
  3. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Peter Msigwa: Taifa ni kuu kuliko Rais; Mahakama ni kubwa kuliko Jaji Mkuu na Bunge ni kuu kuliko Spika. Uzalendo ni kulipenda taifa sio serikali..!

    Nimeusoma ujumbe huu wa Mch. Peter Msigwa kule kwenye page yake ya ukurasa wa X nikagundua mara Moja kuwa, mtu mwenye mtazamo wa namna hii kamwe hawezi kukaa ktk ushirika wa ma-CCM wasikuone wewe ni adui.. Peter Msigwa alikuwa ni NURU katikati ya GIZA (CCM). Na NURU na GIZA havijawahi kupatana...
  4. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Peter Msigwa: Taifa ni kuu kuliko Rais; Mahakama ni kubwa kuliko Jaji Mkuu na Bunge ni kuu kuliko Spika. Uzalendo ni kulipenda taifa sio serikali..!

    Katika demokrasia: 👉Mahakama ni kubwa kuliko Jaji Mkuu. 👉Bunge ni kubwa kuliko Spika. 👉Taifa ni kubwa kuliko Rais. 👉Katiba ni kubwa kuliko chama tawala. Hii ni kwa sababu taasisi zinapaswa kudumu, wakati viongozi ni wa muda. 1. TAIFA NI KUBWA KULIKO RAIS Rais ni kiongozi wa muda. Taifa ni la...
  5. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Said Issa Mohamed aliyeishtaki CHADEMA atimuliwa rasmi Uanachama kwenye chama hicho

    Taja vifungu vya kanuni/katiba ambavyo havikufuatwa..
  6. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Said Issa Mohamed aliyeishtaki CHADEMA atimuliwa rasmi Uanachama kwenye chama hicho

    1. Hiyo siyo barua aliyoandikiwa muhusika, hiyo ni "PRESS RELEASE" au "TANGAZO/TAARIFA KWA UMMA" 2. Bila shaka kwenye barua official aliyoandikiwa itakuwa imezingatia yote yanayokutia mashaka.. 3. Said Issa Mohamed hawezi kutumia taarifa hii kukatia rufaa kama akitaka bali atatumia barua...
  7. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Tanzura Kabla ya Next World Cup kuna ubwabwa

    Kama si mfuatiliaji wa siasa za Bongo, huwezi kuzielewa hizi code... Ngoja nisaidie kuzifungua baadhi: KM = Kassimu Majaliwa Blaza = John P. Magufuli Maza = Samia Balozi = Dr Emmanuel Nchimbi (VP) Maskafu = Mwigulu Nchemba Mkoko = Simai (yule mbunge mzanzibar aliyemuita balozi "Yuda")...
  8. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Sababu kwanini jibu alilotoa Rais Samia kuhusu sanctions sio sahihi na alipaswa kujibu namna hii. Washauri hawakumwandaa?

    Hii ya "sera yetu ya nje ni ya kutofungamana na upande wowote" is too theoretical than practical.. Katika dunia ya Leo na hususani kwa nchi masikini ikiwemo Tanganyika yetu, workability ya sera hii ni almost zero, impossible... Kama nchi/taifa mnaweza kufikiri hamfungamani na upande wowote...
  9. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Sababu kwanini jibu alilotoa Rais Samia kuhusu sanctions sio sahihi na alipaswa kujibu namna hii. Washauri hawakumwandaa?

    1. Hili sio swala la kuwa ameandaliwa na wasaidizi wake au la. Ni ujinga na uzembe wake tu wa kutojielimisha binafsi ili ku-sharpen ufahamu na uelewa wake juu ya masuala ya Kitaifa na kimataifa ktk international politics & diplomacy, biashara na utamaduni... 2. Huyu ndiye Rais wa kwanza...
  10. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Augustino Lissu, mtoto wa Tundu Lissu, ametoa ushuhuda mzito na wenye hisia kali mbele ya maofisa wa Bunge la Seneti na Congress

    Hakuna video tumwone na kumsikia moja kwa moja sisi wenyewe..?
  11. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Ile shahada yagoma kukaa Kichwani kwa Samia Suluhu, Yadondoka Chini. Warusi Waduwaa🤣🤣

    Hiyo ni habari kubwa. Lakini kwako wewe mwenye akili ndogo zisizoweza kuchunguza kila jambo na kulipa tafsiri sahihi ya maana yake HUWEZI kuelewa, utaona ni jambo la kawaida tu kama kudondosha tonge la ugali wa mchuzi wa samaki😀... Kuvikwa kofia maalumu kichwani ni ISHARA ya kupewa mamlaka...
  12. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Msigwa: Tanzania ina haki kuwa na nchi rafiki yoyote duniani. Kwa Urusi sasa, ni wrong timing

    Ni sahihi.. Lakini, hawa watu hawaelewi haya... Their intelligence of conscience has been taken up by their stupid and fateful dangerous egos... They're lost. They are absolutely going to die..
  13. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Rais wa TLS: Hata tuende pande zote za dunia ili kujibaraguza; Ukweli unabaki kuwa, ili taifa letu lipone linahitaji mambo 5 tu haya

    You're still shouting just like always you do.... You have not answered my simple questions... I am living you with your ignorance...
  14. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Msigwa: Tanzania ina haki kuwa na nchi rafiki yoyote duniani. Kwa Urusi sasa, ni wrong timing

    Pamoja na kuwa Tanzania ina haki ya kuwa na mahusiano ya kirafiki na nchi yoyote duniani kwa kadri inavyowezekana, kwa maoni yangu safari ya kuelekea Moscow imefanyika katika wakati ambao si muafaka kisiasa na kidiplomasia... Katika kipindi ambacho Marekani na Umoja wa Ulaya tayari wameonyesha...
Back
Top Bottom