Hata Yesu Kristo kwa kuwa mkweli ilimgharimu kifo lakini chake kifo kilikuwa cha faida kubwa kwa ulimwengu wote na kwa kila binadamu.
Ndivyo ilivyo kwa CCM. Hawa watu wa CCM wanaweza kukuua na ofcoz hawana hofu ya kumwaga damu ya yeyote msema ukweli, damu yenye faida kwao pekee.!!
Kwa ufahamu na akili yako ni pumba. Lakini unaweza kupingana na nature?
Unafikiri shetani naye hafanyi miujiza? Unadhani shetani hatendi na kuleta matokeo? Je, kwa kuwa analeta matokeo unadhani anaweza kuchukua nafasi ya Mungu?
And remember this. Two wrongs can't make right..!
Forget about...
Tatizo ni ubovu/udhaifu wa sera za kifedha/uchumi na mipango mibovu chini ya serikali inayoongozwa na CCM.
Nchi zote zilizoendelea na zinazoendelea jicho na mkazo wa kukusanya Kodi huwa ni kwenye ku - exploit natural resources kama ardhi, madini, misitu, mbuga za wanyawa, maji (bahari, maziwa...
Ndugu Steven Joel Ntamusano, mwanaume akiwa kwenye nafasi yake sahihi (in his right position) akikosea, kamwe hiyo haiwezi kuwa ishu ya kujadili, huwa inaeleweka na huwa tunasonga mbele.
Ni makosa makubwa kuruhusu mwanamke kuwa kwenye nafasi isiyo yake.
Halafu anaharibu then watu wanaanza ku...
Aisee..
Huyu Makonda ana nguvu za giza hatari sana anazotumia kumpa nguvu kufanya afanyayo.
Hivi inawezekanaje mtu aliyekosa uadilifu kwa uthibitisho (ushahidi) wa waziwazi kama huyu Makonda akaweza kum - blackmail kiongozi mkuu wa nchi (Rais) hata kumwamini na kumweka ktk mifumo ya uongozi wa...
Tatizo na upungufu wako ni mmoja tu. Kwamba kwa akili na ufahamu wako unadhani Paul Makonda ana moral authority ya kuwa treat viongozi wenzake kwa namna ile.
Tunasema hivi;
Likely, (labda) ni kweli kuna weaknesses kwa uongozi wa TARURA hapo Arusha ktk usimamizi na utendaji wa shughuli zao...
Hili nalo linawezekana..
Na kusema kweli, kwa haraka haraka hata mimi nimeiona hii picha, kwamba, a smart political game is being played here..
Na hawa jamaa wanaocheza mchezo huu kwa jinsi walivyo wajinga wakidhani watu hawataajua, wanaonesha kuwa hawamtaki huyu mwanamke wao huko CCM lakini...
Ishu hapa sio takwimu. Unaweza kufanya hili au lile lakini overall haikufanywi wewe uwe mwanamme. Elewa kuwa Samia Suluhu Hassan ni mwanamke...
Afanye hili au lile, hiyo haindoi ukweli kuwa yeye ni mwanamke. Jinsia yake tu ya "kike" inam - disqualify kuwa kiongozi wa juu (Rais) wa nchi hii...
Duuh, ni unabii complicated sana huu kwa pande zote mbili yaani CCM na CHADEMA.
Yaani unawapa faida CHADEMA zaidi (ushindi mwaka 2025) lakini wakati uohuo unawachanganya (contradict) kwa kuwataka kucheza mchezo hatari wa pata potea wa mwaka 2015 dhidi ya Edward Lowassa aliyetoka CCM pia dakika...
1. Hoja ya jinsia ya mwanamke na uanamke wa Samia Suluhu Hassan ina - matter and it's so powerful kuliko unavyowaza ndugu Steven Joel Ntamusano.
2. I agree that, Rais Samia Suluhu Hassan binadamu tu kama ulivyo wewe. Lakini yeye ni MWANAMKE na wengine ni WANAUME. Hiyo ndiyo tofauti kuu.
Na...
Mkiwa na Rais mwanamke wa nchi kama ya Tanganyika yenye taasisi kama Bunge, mahakama, TISS, PCCB, AG nk dhaifu katika kusimamia utendaji wa serikali mnategemea nini?
Ni lazima mambo yawe hovyo tu kwa sababu pembeni mwa mwanamke huyu lazima atakuwepo mshauri au kundi la washauri wanaume waovu...
Hakuna lugha yoyote ya kumdhalilisha mtu akiwemo huyo Rais wenu anayotumia Mdude Nyangali..
"Lugha ya kudhalilisha" basically ni tafsiri ya mtu mwenyewe..
Shida ya viongozi na wafuasi wa CCM ni kuona kuwa lugha kali na ngumu inayotumiwa na umma kukosoa udhaifu na uchafu wa matendo ya viongozi...
Kwa hiyo ufanyeje sasa?
Usiombe kura za watumishi wa umma kwa sababu hii unayoitoa wewe? Really?
Kama uchaguzi "sio serious" huwa mnashiriki kwa vigezo vipi?
USHAURI WA BURE KWAKO:
1. Pambaneni kuhakikisha uchaguzi unakuwa "serious" kama ulivyosema au acheni kabisa kushiriki kwa sababu...
Yes, ni kweli kabisa...
Lakini tuwe tunapenda au hatupendi, kushawishi watu wakupigie kura kwa sera na mipango ya maendeleo mizuri inayowavutia watu ni jambo la kwanza na la muhimu kabisa..
Kudhibiti wizi wa kura ni issue manually na inaweza kufanyika kiranisi...
Na kwa kweli, hili tukiamua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.