This is very ridiculous...!
Eti Tume...
Yaani ajambe yeye halafu anaunda Tume kuchunguza nani kajamba na ushuzi unanuka kutokea kwa nani..!!???
Sikiliza ndugu Lucas Mwashambwa, hatia haiondoki kwa ulaghai na udanganyifu. Hatia huondoka kwa kukubali kuwa umekosea, kisha unaomba radhi na...
Uandishi wa Gerson Msigwa ni very unprofessional ukiwa na makosa na kujichanganya kwingi..
Actually hii ni ndiyo lugha ya watu waongo waongo, wadanganyifu na waliojaa hadaa ndani ya serikali haramu ya CCM chini ya Samia Suluhu Hassan..
Msigwa anasema:
"...Serikali ya Tanzania imezisikia...
Looh!
Kumbe Hakainde Hichilema alikuja Tanzania kujifunza mbinu za wizi wa kura kwa kuua raia toka kwa CCM na Samia wao?
Na Samia Suluhu Hassan alienda kujifunza toka kwa Yoel Museven wa Uganda...!!
Muungano wa wafalme wachawi na wauaji wakijaribu kuokoa himaya na tawala zao...
They will...
Very fine then...
Sasa tunataka kujua kumbe ni nani aliua maelfu ya Watanganyika wenzetu 29/10 na siku zilizofuata? CHADEMA na Tundu Lissu siyo? Kwamba hawa CHADEMA ndio walifungua maghala ya silaha za kijeshi na kutapakaa mitaani kuua watu hovyo..????
Kama sio hao maelfu, basi ingalau wale...
Imekatiwa umeme na maji na huduma zingine zote muhimu kwa maana ipi?
Kwamba wamekatiwa tu kwa sbb serikali haitaki wawe na huduma hizo ili wafe au ni kwa sababu wameshindwa kumudu kulipia gharama (bills) za huduma hizo kwa sbb hawana fedha tena kwa kuwa baba yao yuko gerezani..?
Fafanua...
Hapa nakubaliana na wewe...
Na watu hatujui tu au hatukumbuki au hatusomi historia..
Mfano Wajerumani walitawala Tanganyika ikiwa sehemu ya East African German Colony kwa miongo mingi tu. Kwani walikuwa wanatutawala kihalali..?
Jibu ni hapana, walikuwa wanatawala kimabavu na kiharamia...
In fact, sio "kumtii" bali kujua na kuelewa kuwa nchi/taifa lina mkuu wa nchi mwenye mamlaka ya kisheria na kikatiba na kwa sisi hapa anaitwa - Rais bila kujali alipatikanaje...
Huu ndio ukweli usioweza kukanushika...
Na in fact, hata kama alipindua nchi na akatwaa madaraka na mamlaka ya...
Ungeishia tu pale...
Lakini hayo maneno mawili (niliyoyakolezea wino mweusi ) ya mwisho, ni kitanzi kwako. Nakushauri yafute..
Kusamehe ni kwa faida yako wewe unayesamehe, na si kwa unayemsamehe kwa sababu msamaha unakutulisha mzigo chini..
Usikae na mizigo isiyo na sababu...
Wasamehe tu na...
Maelezo yako yapi..?
I asked you a simple question based on your own explanation above, kwamba👇🏻👇🏻👇🏻
Tunasema Samia na genge lake wanapaswa kuomba msamaha kwa sababu waliua ndugu zetu 29/10..
Haya, sema na wewe: Father Kitima au TEC unataka waombe msamaha kwa kosa gani, kwa nani na wapi...
Tunasema Samia na genge lake wanapaswa kuomba msamaha kwa sababu waliua ndugu zetu 29/10..
Haya, sema na wewe: Father Kitima au TEC unataka waombe msamaha kwa kosa gani, kwa nani na wapi..?
Au alikuchukulia mumeo/mkeo..??
Samia anaunda tume za kutafuta vichochezi na wachochea vurugu tu...
Lakini hataki kuunda tume za kuwatambua na kuwakamata walioua Watanzania kwa risasi za moto na kisha mkono wa sheria uchukue hatua yake..!
NA JIBU LA HOJA HII LINAELEWEKA: Samia ndiye aliyeua ndugu zetu kwa AMRI YAKE sbabu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.