Recent content by the one ibrah

  1. T

    Coronavirus: Fahamu kiundani kuhusu Virusi hivi | Usambaaji, Dalili na Kinga

    Tunaambiwa Coronavirus baada ya kuingia kwa binadamu wanakaa kooni kwa mda wa siku nne baada ya hapo ndio wanashuka kwenda kwenye mapafu. Baadhi ya watu ambao walishakumbwa na janga hili kabla yetu walikua wakitumia njia ya kujifukiza na kunywa maji ya moto yenye mchanganyiko wa limao na vitu...
  2. T

    Corona virus wanakufaje kwa kufukiza?

    Inawezekana haujafahamu kitendo cha kujifukiza kinatakiwa kufanyika katika stage ipi.
  3. T

    Corona virus wanakufaje kwa kufukiza?

    Tunaambiwa kwamba coronavirus kabla ya kufika kwenye mapafu wanakaa kooni kwa muda wa siku nne baada ya hapo wanashuka kwenda kwenye mapafu. So kwa tahadhari ulioionesha hapo juu, ningependa upendekeze njia sahihi ya kukabiliana na virus hao kipindi wakiwa bado kooni.
  4. T

    Dkt. Mahiga alifanyaje hadi kuwa DG wa TISS akiwa na miaka 35?

    Kulikua na uhaba wa wasomi. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom