Recent content by The mgusi

  1. The mgusi

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Kigamboni-Dege SQM 1045

    Maji ya kudrill , nguzo za umeme zipo za mradi tayari ,katibu sana boss
  2. The mgusi

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Kigamboni-Dege SQM 1045

    Hata za wizara huwa zina migogoro pia.. unakuta eneo moja lina Hati 4. Muhimu ni kufanya search deed kabla hujanunua kiwanja vivyo hivyo hata vya skwata ambavyo asilimia nyingi za Watanzania tunamiliki kufanya upelelezi kwa majirani na serikali za mitaa au manispaa kuangalia eneo matumizi yake...
  3. The mgusi

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Kigamboni-Dege SQM 1045

    Ndio uhalisia eneo likiwa limepimwa hata price yake ipo juu tofauti ya viwanja vya skwata.
  4. The mgusi

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Kigamboni-Dege SQM 1045

    Dege karibu na mradi wa magorofa ya Nssf.
  5. The mgusi

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Kigamboni-Dege SQM 1045

    Yes nauza kwa pamoja 2 in 1. Ndio maana imeletwa jumla hiyo ya sqm
  6. The mgusi

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Kigamboni-Dege SQM 1045

    -Ukubwa wa kiwanja ni SQM 1045 - kiwanja ni Tambalale -umbali kutoka Fery ni KM 21 umbali kutoka baharini ni km 3 na kutoka Main Road ni km 3 kiwanja kipo Mtaa wa Shirikisho Document - serikali za Mitaa. Contact for serious buyer 0692450861 Price : 12,000,000/= (Negotiable) .
  7. The mgusi

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Kigamboni - Dege sqm. 1045

    Hivyo vilivyozungushiwa rangi nyekundu vinauzwa kwa pamoja .
  8. The mgusi

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Kigamboni - Dege sqm. 1045

    Ni viwanja viwili hivyo vinauzwa kwa pamoja each ni square meter 500. Jumla 1000. Vilivyozungushiwa alama nyekundu.
  9. The mgusi

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Kigamboni - Dege sqm. 1045

    Kiwanja ni tambarare Ukubwa wa kiwanja ni square meter 1045 Mawasiliano for serious buyer 0692450861 Umbali toka Feri ni km 19 Price - 12,000,000/= Negotiable.
  10. The mgusi

    Nafasi za Kazi TRA

    We ni mpuuzi . Acha kukurupuka. Ingia website ya TRA upande wa news and updates.utaona hilo Tangazo la ajira.
  11. The mgusi

    Naomba kujua mshahara wa TGS D Ni sh.ngapi kwa mchumi daraja la II

    huyu atakuwa aina ya watu wabishi wale ambao walikuwa hawaelewana na incharge wao. so ikitokea safari hapewi kumkomoa . hivyo kaona asepe tu. pale mzee napajua . dereva tu anamkimbiza daktari wa halmashauri parefu sana.
Back
Top Bottom