Recent content by The lighter

  1. T

    SoC04 Mfumo utakaoboresha ukusanywaji wa kodi na nchini (Tanzania)

    swali zuri kaka njia pekee ya kuwabana wanunuzi na wafanya biashara ni kupoteza kabisa mfumo wa cash na badala yake kuwe na mfumo wa online money pekee,,,ambapo kila mtu atakua na fedha zake katika card pekee na sio cash,,,ili kila atakapotaka kufanya manunuzi atumie card,,na kila atakapokua...
  2. T

    SoC04 Mfumo utakaoboresha ukusanywaji wa kodi na nchini (Tanzania)

    Utangulizi Takwimu za mapato yakuswanyayo na shirika husika (TRA) katika maeneo/shughuli mbalimbali, zimeonekana kupaa juu siku hadi siku na hii imechochewa na uwekezaji mkubwa uliofanywa na serikali katika kutoa elimu kwa wauzaji na wanunuzi wa bidhaa/huduma mbalimbali,,,, Sambamba na...
  3. T

    Maandiko yameweka wazi Mungu ni mwenye huruma lakini ikifika muda wa hukumu hatumii huruma bali sheria

    kuhusu HATIA iko hivi,,ikiwa wakristo wazaman na wasasa wanashea ahadi ileee aliyopewa Ibrahimu na uzao wake wote(maandiko yanasema walio wa imani hao ndio wana wa ibrahimu) ,,basi ingetokea ibrahimu analaaniwa basi laana ingekua juu yake na uzao wake wote..... so,,kwa uonavyo wewe unaweza...
  4. T

    Maandiko yameweka wazi Mungu ni mwenye huruma lakini ikifika muda wa hukumu hatumii huruma bali sheria

    Mungu hutumia mtu/watu ili kusaidia ama kutatua changamoto za wengine,,ndio maana alipotaka kuwaokoa wamisri katika mkono wa Falao alimtuma Musa japo alisema ameshuka na anaenda kuwaokoa lakini mwisho wa siku unamuona ni Musa ndio anaenda kuwaokoa akiwa na Mungu spiritual,,,,, ili uuone wema wa...
  5. T

    Maandiko yameweka wazi Mungu ni mwenye huruma lakini ikifika muda wa hukumu hatumii huruma bali sheria

    Ni kweli kwamba maandiko yameweka wazi kwamba Mungu ni mwenye huruma lakini ikifika mahali anafanya hukumu (Maamuzi) katika kujibu maombi ya waja wake, Huruma haitumiki bali SHERIA yake ndio hutumika kama msingi wa HUKUMU zake. Ombi langu: Tuondoe dhana potofu kwamba Mungu atakuonea huruma...
Back
Top Bottom