Nakupa mfano mmoja tuu kwenye bible kitabu Cha Daniel,serikali kipindi hicho ya babel ilitoa amri ya kuiabudu sanamu ya mfalme but wao wakaipinga amri na kusema tutamwabudu Mungu Muumba mbingu na nchi but sio mwanadamu ,na baada ya kugomea amri ilitoka wachomwe kwenye tanuri la moto,but Mungu...
Nahic ndugu husomi vizuri maandiko ukaelewa Bali Huwa unapitia kuangalia ,itabidi urudi tena kusoma ndio uje kukometi,si vizuri kuitukana au kuisema vibaya serikali Bali kuikosoa na kutoa maoni mbadala ndicho kinachotakuwa ili kuiponya na kutenda vema Kwa wananchi walioipa idhini serikali iwaongoze
Inaonesha historia ya Dunia huijui ndio maana unaona kama Marekani ndio sululisho la usalama na amani Duniani sio kosa lako but sivyo unavyofikiria ili ujue itabidi utoke kwenye ilo box ulilojifichia ndio utaelewa au tukusaidie kubomoa hili box
Hilo unalolishabakia haliendi kuleta amani Bali ni uharibifu wa binadama na Mali zao na pia simetumwa Kila aina za silaha na kelele nyingi lakini hakijabadilika Kila kitu Cha msingi kuwaombea amani na si kushangilia watu wanapouana
Hebu fatilia hiyo drone inaweza kubeba tan ngapi za mabomu ndio useme kadrone kadogo tuu,sio unakurupuka kuongea kabla ya fact
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Tanzania ni nchi huru na tuna viongozi wenye kufanya maamuzi sahihi Kwa nchi na wananchi wake,na si kufata kina Nani wataka nini ,na huu pia ni ujasiri wa kutoendeshwa au kuchaguliwa upande
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Yaaani Kuna watu wanajua kuwanyoosha wenzao na watu wenyedharau ,Kweli tutayajua mengi na mataifa wanafiki
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.