Ajira ni kazi au shughuli ambayo mtu anafanya kila siku na kujipatia kipato kwa ajili ya kujikimu na kufanya maendeleo binafsi na nchi kwa ujumla. Mazingira wezeshi ya upatikanaji wa elimu (elimu bure kuanzia shule ya msingi hadi sekondari), elimu ya kati vyuo vya kati na elimu ya juu (serikali...
Wasomi wetu na viongozi wa ngazi za juu (wafanya maamuzi) ambao tunategemea au tuliwategemea kuita na kuendesha mjadala wa kitaifa ili mwisho wa siku tukubaliane na kwenda na lugaha ya kiswahili katika kufundishia kuanzia msingi, sekondari hadi chuo kikuu, ajabu wao ndo wamekua waoga, kimya kami...
Kumekuwepo na wimbi kubwa la vijana wanaomaliza vyuo kuzagaa mtaani na kulia kilio cha ukosefu wa ajira na ukosefu wa mitaji. Sio kama hatufahamu ile mikopo ya halmashauri kwa vijana ila tatizo ni mitaji ya michongo michongo tu. Kwenye wazo lako la mpango maalum napenda kushauri itumike njia...
Serikali imeweka kima cha chini cha mshahara kwa kila aina ya ajira. Shida ipo kwenye usimamizi na ufatiliaji hasa kwa sekta binafsi. Waajiri wanalipa wanavyoona inafaa, kwanini? Waajiriwa wengi hawajui ajira fulani kima cha chini anapaswa kulipwa sh ngap, waajiri wengi wanatumia ukosefu wa...
Mawasiliano njia ya kupashana habari, kufikishiana jumbe na taarifa kati mtu na mtu au mtu na shirika, mwananchi na kiongozi/viongozi, mashirika kwa mashirika au viongozi kwa viongozi. Kukuwa kwa teknolojia kumerahisisha mawasiliano kufanyika kwa haraka hasa pale njia ya ana kwa ana inapokuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.