Ni taharuki katika viunga vya mitaa ya ufipa, taarifa zisizo rasmi ni kuwa Katibu Mkuu bora zaidi wa Chama Afrika Mh. John John Mnyika anatarajia kufanya mabadiliko makubwa ya think tanks wa chama katika kipindi kisicho zidi wiki moja ijayo. Hii inatokana na msukumo mkubwa uliopo katika kutimiza...
[
Autometed Teller Machine(ATM) ni moja ya kifaa kinachoweza kuchangia sana kusambaa kwa ugonjwa huu wa Corona ila bahati mbaya sana mpaka sasa sijasikia ni hatua gani zinachukuliwa na mabenki pamoja na serikali katika kudhibiti kusambaa kwa ugonjwa huu kupitia mashine hizi za ATM.
Kwa...
Serikali inapaswa kuchukua hatua zaidi ya hizo zikiwemo;
kufunga sehemu za umma kama mabenki, vyuo, masoko makubwa kama kariakoo, mlimani city, makanisa nakadharika.
Wanazengo salaam.
Nimekuwa nikifuatilia kwa ukaribu kinachoendele katika uchaguzi ndani ya BAVICHA hasa kwa wagombe sita wanaofahamika yaani huyu CPA KITALIKA, Hemed ALLY, Simbeye Edward, Nusrate Hanje, Gwamaka Mbughi na Chacha Machera.
CPA Kitalika, Gwamaka na Chacha hawakabiliwi na...
Gwamaka ameanza kukabiliwa na shutuma za kuhusishwa na Cecil Mwambe ambaye ni mgombea wa uenyekiti wa chama Taifa akimkabiri Freeman Mbowe. Kashfa hii haiwezi kuamcha salama hata kidogo hasa ukizingatia shaka anayotiliwa mh Mwambe kwamba anatumika na TISS. Kashfa ya kutumika na Mwambe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.