Huyu mkurugenzi wa TANESCO katuona watanzania ni mapoyoyo na tusiosoma na kwa ujinga wetu tumeanza kukubali kuwa ombi lao kwa EWURA halijahusisha bei kupanda kwa wateja wa majumbani huo ni uongo mkubwa. Ni kweli kuwa wametenganisha watumiaji wa kawaida na watumiaji wa umeme wa minara na mabango...
Pitia mahesabu yao waliyoyapeleka EWURA uangalie ni wapi pana uhuni ambao Magufuli hatoukubali ndo ulete hiyo story, andiko la application ya kupandisha tariff linapatikana hapa www.ewura.go.tz kasome vizuri umshauri JPM
Wahandisi hawasajiliwi na bodi ya makandarasi wanasajiliwa na Bodi ya Wahandisi Tanzania (Engineers Registration Board ERB(T)).Pia kuna makosa mengi ya uandishi kwenye post yako
Unatetea ujinga kwa sababu ujinga huo una msaada kwa upande unaouamini,Pole sana Mwenyekiti! Nash MC aliimba "Haujafanya ninachofanya Profesa ....,Unaweza kuwa Profesa kumbe Profesa Gay, Unashangaa nini kwani Maalim hakosei"
CCM mna vichwa maji sana, mlikuja na hadithi za kwamba maandamano yatafanyika mikoa mingine ila Moshi hayatakuwepo kisa CHADEMA wanaleta fujo mikoa mingine ila sio anakotoka Mbowe, leo mnatishia Moshi kwa polisi na mikwara kibao ya kuyumba kwa utalii mbona hamueleweki nyie
Huko ulikohamia ndio umezidi kudhihirisha wewe ni kilaza, System Distribution Voltages zilikuwa tofauti kwa sababu kila nchi ilikuwa inajitegemea uuzalishaji na masoko yake ya bidhaa kwake na makoloni/followers wake, Nowadays dunia nzima inahangaikia flexibility kwa sababu dunia imekuwa kijiji...
Dada endelea na siasa na hata sio siasa ni UCHWARA fulani hivi ndio unaouelewa lakini vitu vya kitaalam na sera nakuona mweupe sana. USHAURI WANGU ni kwamba kaa bila kupost bandiko lolote kwa takribani miezi 18 ili upate mafunzo ya kufanya udadisi,marejeo,utafiti n.k then unaweza kuwa analyst...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.