Recent content by thatfunnyboy23

  1. thatfunnyboy23

    Who is Shivji mpaka asikosolewe?

    Kajibiwa hapo chini kuhusu IGA, HGA alivyoongelea diplomasia pia hawazungumzi muungano kama unayo nyingine nisaidie mkuu mm nataka nisikilize kote kote
  2. thatfunnyboy23

    Who is Shivji mpaka asikosolewe?

    Haya mwanasheria huyo kajibu
  3. thatfunnyboy23

    Who is Shivji mpaka asikosolewe?

    Ndugu zangu aliyemuelewa huyu mtu anisaidie
  4. thatfunnyboy23

    Who is Shivji mpaka asikosolewe?

    Mkuu naomba unitajie mwanasheria aliyezipangua niende nikaangalie mwenyewe kwa mda wangu Nisaidie mkuu nijifunze
  5. thatfunnyboy23

    Who is Shivji mpaka asikosolewe?

    Mkuu Mimi sifahamu nimeona profesa wa sheria na wanasheria wengi wakiongelea mkataba una tatizo na wakitoa hoja hizo kutoka kwenye mkataba huo sasa nimeomba wajuzi waseme je profesa shivj na wengine wanajitungia nilihitaji mtu atakayepangua hoja zao kama wao walivyoleta hoja Hoja siyo kuiba...
  6. thatfunnyboy23

    Kwa asilimia nyingi Waislamu tumechukua tamaduni za Kiarabu. Je, Uislamu ni Uarabu?

    Huyo naye muislamu na anasema karuhusiwa je ni kweli?
  7. thatfunnyboy23

    Kwanini mnakimbilia kuwapa walimu shutuma nzito kabla ya kusikia upande wao?

    Inawezekana ni kama St. Francis wasichana wale hakuna mtoto kuchapwa na ni shule ambayo performance yake ni nzuri mno haina mfano. Ila kwa hivi vichwa vya watoto wa siku hizi sijajua ILA linawezekana
  8. thatfunnyboy23

    Ushawahi kuaminishwa na mganga kuwa huwezi kupata kazi lakini ukapata bila kutibiwa/kuaguliwa?

    Hapo nimekupata madam. Kiukweli hata mm binafsi naonaga wana sifa za dude wa karibu bongo daresalama
  9. thatfunnyboy23

    Ushawahi kuaminishwa na mganga kuwa huwezi kupata kazi lakini ukapata bila kutibiwa/kuaguliwa?

    sawasawa ila nilishangaa sentensi yako huamini uganga ILA unamwamini mungu mimi binafsi najua anayeamini uwepo wa MUNGU lazima pia aamini uwepo wa shetani au nakosea madam?
  10. thatfunnyboy23

    Ushawahi kuaminishwa na mganga kuwa huwezi kupata kazi lakini ukapata bila kutibiwa/kuaguliwa?

    Madam kwanini huamini uganga na unaamini wakati wa MUNGU? Au ndiyo yaleyale ya serikali kwenye matamasha ya kimataifa kuna mapadri na masheikh lakini wanakwambia serikali haiamini ushirikina?[emoji23]
  11. thatfunnyboy23

    Jeshi la Polisi: Ukipewa dhamana polisi kutoka ni bure usitoe pesa

    Siyo POLISi wale wa stakashari Wanakula rushwa hatari! Siyo wote lakini
Back
Top Bottom