Ni mara ngapi huwa unasifia Juhudi na hatua ulizopiga katika harakati zako za kila siku? Au na wewe una ile tabia ya kushabikia Mafanikio ya mtu mwingine huku ukidharau mafanikio yako mwenyewe?
Ile hali ya kujiona haustahili kupata mafanikio, haustahili kuwa na cheo flani au haustahili...
Ninatambua sana kwamba, wamekufundisha na kukuambia "Utafute Role Model" na uige kile anachokifanya ili uweze kufanikiwa kama yeye. Wamekufundisha pia kusoma vitabu vya Mafanikio na kufuata kile kilichoandikwa humo.
Mimi leo ninataka kukuambia ukweli. Ukweli utakaobadili maisha yako. Upo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.