Yaani wewe jamaa ndo maana nikakwambia hujui unaongea nini! Huo ni uwekezaji ambao nchi nyingi tu makini zinafanya hivyo, shida ya huu wetu ni kwenda kujinga migorofa kwenye nchi za watu na kujidai eti huo nao ni uwekezaji. Kwanza pesa yetu tu madafu, pesa ambayo unaenda kujenga tower mbili...
Aisee pole sana! Wewe ndio unastahili ukaombewe maana hujui ulisemalo.
Ni serikali gani inahusika na kufanya biashara.
Ungekuwa na akili ungeelewa hata makosa ya uandishi kwenye comment yako maana umesema matajiri na wafanyabishara huzunguka kuwekeza popote duniani na sijaona umetaja kama ni...
Yaani hata hiyo bajeti wakiipeleka kwenye mipango miji ya majiji yetu Tanzania watakuwa wamesaidia sana kwa sababu kila eneo litakuwa Tanzania litakuwa limechorwa lijengwe kwa namna gani.
Nimeeleza hapo chuo kikuu hicho ni kwa ajili ya michezo na riadha ambayo ni maarufu kwa nchi za Kenya na Uganda ambapo Mara imepakana na nchi zote hizo pia.
Lakini pia nimesema kijengwe kiwanja cha michezo cha kisasa kwa ajili ya michezo ya olimpiki katika karibu na bichi zetu, kwa hiyo na hapo...
Yaani nchi maskini kama Tanzania yenye uchumi mdogo wa kumudu changamoto za nyumbani kwake mwenyewe, unatoa tena hicho kidogo na kukipeleka nje kuzijenga na kuendeleza nchi za wenzetu. Hii sio akili!
Kuna mambo mengi hapa nchini tunaweza kuyafanya na yakatuvutia uwekezaji mwingine mkubwa tu, na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.