Nadhani sasa polisi wamepata pa kuanzia. Kama hawatachukua hatua ni wazi wanajua ukweli na wanamwona huyu bwana ni kichaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Suala la hijabu mashuleni ni bomu kwa Taifa. Huwezi kuwaonyesha watoto/ wanafunzi kubaguana kwa misingi ya dini hali unagenga taifa lenye umoja. Tumsaidie Mama Ndalichako kupiga kelele.analijua lakini anaogopa kushambuliwa na waislamu kumbukeni alivyokuwa baraza la mtihani
Sent using Jamii...
Kitu kinachoifanya nchi hii kudharauliwa na kuitwa nchi ya manyumbu ni uwezo wa wengi hasa wa ccm kutotafakari mambo na kuibua ukweli na uhalisia wa mambo au kwa makusudi au kujitoa ufahamu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sangaa pia wanafunzi kuvaa hijabu vazi la maudhui ya mila au dini shuleni na hakuna anayekemea .shule zetu zinakuza misingi ya kubaguana na si afya kwa taifa
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.