WHY I CONVERTED FROM ISLAM TO CHRISTIANITY.
I converted from Islam to Christianity simply because Islam gives no guarantee of salvation.
Because Islam recognises that Jesus is 'the word of God' so God "the Messiah" therefore the savior ( Surah 3 v 45).
Because Allah recognises in the Qur'an...
Ndiye Mungu mtukufu aliyeumba vyote,mwenye uweza wote na nguvu zote,na upendo wote na asiyeshindwa chochote.aliyekuwako,aliyepo na atakayekuwako,utukufu,enzi,heshima una yeye milele hata milele
Acha weee! Labd kwako,sisi simiyu hata mboga ya majan,dagaa inatiwa maziwa,mtoto anaamkia kuchoma viaz na karanga akiwa anasubiri kifungua kinywa,mchana anachoma mahind akiwa anasubiri chakula,mda wowote ukiamua kula samaki hata kama huna hela unaingia mto Simiyu
Kwenye mkoa wako tu ndo hakuna mayai,nyama na maziwa maana mpaka ununue,kama unataka uzaz wa mpango ni wewe na mwenz wako,ethic haisem kulazisha uzaz wa mpango. Kanda hiyo watu wana ekari za kutosha za mazao,wanafuga kuku,mbuzi ,kondoo na ng'ombe,akose hata maziwa na mayai? Hata asiye...
Ipo cku utaelewa ya kuwa Mungu yupo! Nayo i jaribu,ukitaka kuwa salama mwamini na kumwomba msamaha maana hujifunua kwa namna tofauti kutegemea na ugumu wa moyo wa huyo mtu ktk kumwamin
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.