Mimi Si duni si dhaifu ni mwingi wa suluhu jamii yangu niamini, Mwenyezi Mungu si dhalimu kukuweka karibu na mimi mwanadamu amini, Niwe kwako kwanza, wanyama nchini, ndege angani Kitambaacho juu nchini, chenye uhai hata majani, miche kondeni chakula chanzo ni mimi.
Sikupi maono mapya kukomboa...