Kama uzi uliopita nilieleza kuwa mwaka 2016 (Miezi 18 iliyopita) katikati nilishawahi sex bila condom na mwanamke HIV POSITIVE, Basi mimi nikajua ndo basi, watu wakanitia Moyo ila sikuwa na imani...nilikaa 2016 yote, 2017 yote huku nikiwa na wasiwasi kwamba Huenda Ninao lakini Kupima Nilikuwa...
Mimi ni Kijana wa kiume mwenye sifa hizi
Umri Miaka 28
Urefu wangu Futi 6 nchi 7
Uzito Kilo 77
Rangi Maji ya Kunde
Dini Mkristo
Kazi: Electrical Engineer
Natafuta Mwanamke
Umri usiwe zaidi ya 27
Elimu isiwe zaidi ya Degree
Asiwe Mfupi ase
Kabila lolote
Dini yoyote.
Kama Upo serious Njoo Inbox
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.