Majibu yako ni yafuatayo:
Tenda ya consultant haikutangazwa
Rizwani na shemeji yake Habat Marwa ndio wenye hati miliki zote za mikataba yote kati ya serikali ya Tanzania na China. Imeefikia mahala wachina wanatamka wazi kwa maafisa wa wizara ya fedha kuwa wao wanawatambua Riz na Habat...
Habari toka Habari Leo ni tuhuma kuwa Rizwani na shemiji yake habat marwa wameshachukua kamisheni zao toka kwa wachina. Inasemekana kuwa mikataba yote kati ya Tanzania na China kupitia Exim Bank haiwezi kufanyika bila 10% yao.
Hii ndio bongo yenye watu milioni 44 ambao wamejiwekea utaratibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.