Recent content by tenanzo2012

  1. tenanzo2012

    Bravo Dr Mwakyembe!lakini sidhani kama utaweza!

    Habari za wikiend wana jf wezangu hopefully mpo poa! Kwa takribani mwezi mzima sasa hbr kubwa ktk vyombo vyetu hbr hapa tanzania ni kuhusu watanzania wanaokamatwa au wanaojihusisha na biashara haramu ya uuzaji wa madawa ya kulevya!Nikiwa kama mtanzania mzalendo wa nchi hii sifurahishwi hata...
  2. tenanzo2012

    Umemsikia Robert Mugabe!?

    Mwandishi wa habari wa shirika la utangazaji la Uingereza BBC alimuliza swali Rais Robert Mugabe wa nchini Zimbabwe baada ya kushinda kwa mara ya sita uchaguz mkuu wa nchini mwake mwezi uliopita, Mr President dont you think 89 years old would have been a great time to rest and retire? Mugabe...
  3. tenanzo2012

    Kwanini wanawake wa kizungu wanawapenda Wanaume MaRasta?

    BARAKATIL EID WANANAJAMVI!, Naomba kufahamu kutoka kwenu ktk pitapita zangu Moshi,Arusha,Bagamoyo na huku Zanzibar nlipo sasa nimeona wazungu wanawake wanapenda kuwa na mahusiano na wanaume wakitanzania wenye rasta! Nataka kujua kwanni maras?
Back
Top Bottom