Lissu na Lipumba na watu kibao, naamini wengi ni ukawa (Nimtoe Lipumba ambae yye alionesha uzalendo) wamepinga uteuzi wa Muhongo kuwa waziri wa nishati na madini kwa mara nyingine tena.
Lissu huyu huyu na timu yake ndo walituamibisha watz kuwa lowassa ni boooonge la fisadi. Baada ya muda...
Hebu tuache unafiki, Prof. Muhongo kupewa wizara ya niashati na madini ni mahala pake. Kainyoosha hii secta ya umeme tangu alipoingia.
Kama yule mgombea wa UKAWA alionekana anafaa kuwa rais, baada ya yeye pia kujiuzulu miaka miwili tu tangu apewe uwaziri mkuu, kuna ubaya gani Muhongo kupewa...
Cc tushaanza kumwamini, wewe subiri mda wako muafaka. JPM sio mgeni hapa tz na utendaji wake unajulikana na kila mtu. Hata we pia unamfaham vema since then.
Shida kwani ipo wapi? Taarifa ya ikulu kupitia kwa katibu mkuu kiongozi ndo imestate hivyo. Vtanda 300, magodoro 300 na mashuka 600. Mbona mnatafuta kutoa taarifa za kwenu binafsi. Sisi tunamwamini raisi, na taarifa aliyotolewa na katibu mkuu kiongozi ndo sahihi
We utakuwa umevurugw. Tena hasa. Na aliyekuvuruga kala karanga mbichi na mihogo mibichi. Ulitaka nchi wapewe wale wapiga deali. Never. Na 2020 JPM atashinda kwa kishindo.
Agizo limetolewa jana jioni, leo vtanda 300, magodoro 300 na mashuka yake 600 vimenunuliwa. Kesho j2 vinafungwa na j3 JPM ataenda kuvikagua pale Muhimbili.
Ahsante sana raisi wangu JPM. Kweli wewe sio mpiga dili. Napata shida kuamini kama ingekuwa hawa wapiga dili wangeweza kuziachia hizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.