Recent content by Teknotee

  1. Teknotee

    Kanuni 10 za kufuata kuongeza ukubwa wa uume kwa asili

    Wakuu tunaombeni ushuhuda Kwa mliofanikiwa
  2. Teknotee

    Vijana wezangu nipeni elimu kijana wenu

    Wakuu, naomba kuuliza: Je, kuna madhara yoyote yanayoweza kutokea unapokula mfululizo karanga mbichi, mbegu za maboga, muhogo mbichi, na vyakula vinavyosadikika kuimarisha mfumo wa uzazi wa mwanaume, lakini hushiriki kabisa tendo la ndoa kwa muda mrefu, ila unakula tu kujiimarisha na kujiweka sawa?
  3. Teknotee

    Lotion gani nzuri kwa mwanaume?

    Sorry kiongozi hii palmer Cocoa Butter lotion una apply mpaka usoni?? Haina shida ukitumia usoni?? pia price yake ipoje
  4. Teknotee

    Kinachoendelea Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura 2024

    Mbona naskia hakuna usaili majina yatatoka tu directly??
  5. Teknotee

    Kinachoendelea Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura 2024

    Yes nandomana Zoezi la uandikishaji linafika mpaka mwakani mwezi wa sita
  6. Teknotee

    Kinachoendelea Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura 2024

    Ndivyo walivyoandika kwenye post yao
  7. Teknotee

    Kinachoendelea Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura 2024

    Sijafaham kw undani, karibu kumtembelea website ya tume ya uchaguzi huko wameelezea Kila kitu
  8. Teknotee

    Kinachoendelea Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura 2024

    Wanafanya Kwa awamu haifanyiki kw pamoja, ndo hapo umeona wameandika awamu ya kwnz itakua na mizunguko 13
Back
Top Bottom