Nashukuru kwa ujasiri wa kunikosoa na kunirekebisha kwani kufanya hivyo naamini unayo nia ya dhati kabisa ya kuniboresha niwe Mwandishi bora nimeupokea kwa 🤲🤲
Hongera sana mimi ni candidate mwenzio lakini kwa uzi huu kura yangu nimeona nikupe wewe hili nitatizo kubwa sana kwenye jamii na Serikali yetu imelipa Kisogo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.