Recent content by TECNO Tanzania

  1. TECNO Tanzania

    Phone4Sale Pop 7 imekuwa ya moto sana sokoni

    Simu mpya toleo la POP 7 imeweka rekodi ya mauzo baada ya kuuzika simu zaidi ya 5000 ndani ya muda wa mwezi mmoja kwanzia ilivyo ingia sokoni. Hii inaonesha jinsi gani mapokezi ya toleo hili la POP 7 yamekuwa ya kishindo kikubwa. Toleo la POP 7 limeundwa kwa ajili ya wapambanaji wote wanao amini...
  2. TECNO Tanzania

    Unajua njia sahihi za kutunza chaji kwenye simu yako

    Hapana Boss Tatizo la Over heating sasa hivi ukalipata
  3. TECNO Tanzania

    Unajua njia sahihi za kutunza chaji kwenye simu yako

    Nyakati zina badilika na technologia inazidi kukuwa hivyo basi nikuombee uwelee hili boss kwamba tumefanya mabadiliko makubwa sana kwa kwenye matoleo yetu ya sasa.
  4. TECNO Tanzania

    Unajua njia sahihi za kutunza chaji kwenye simu yako

    Tuna kimbizana na Technologia ya sasa na tuna kuhakikishia kukupa matoleo yenye viwango bora zaidi
  5. TECNO Tanzania

    Unajua njia sahihi za kutunza chaji kwenye simu yako

    Asante kwa kuwa mwanafamilia wetu Tunaendelea kukupa kilicho bora zaidi.
  6. TECNO Tanzania

    Unajua njia sahihi za kutunza chaji kwenye simu yako

    Ikiwa wewe ni mtumiaji mzuri wa simu janja unaweza ukawa una tumia muda wako mwingi kuangalia uwezo mkubwa wa uhifadhi kumbukumbu wa simu, kamera ni megapixels ngapi, saizi ya display, processor na uwezo wa betri wa simu. Leo tuangalie za ndani ndani juu ya uwezo wa Battery la toleo la POP 7...
  7. TECNO Tanzania

    Ile kiu ya kusubiria Toleo la Phantom X2 sasa imeisha

    Kampuni ya simu ya TECNO katika kuendeleza kutoa bidhaa zilizo bora na zinazoendana na technologia ya kisasa, tunakuletea lile toleo la kubwa Zaidi kwenye mtiririko wa PHANTOM ambalo watumiaji wengi wa simu janja wamekuwa wakiulizia sasa limefika sokoni na linapatikana kwenye maduka yetu nchi...
  8. TECNO Tanzania

    Toleo la Pop 7 linapatikana sasa nchi nzima

    Asante sana Boss kwa kuwa Mwanafamilia wetu Najua utakuwa unaona uhalisia na una experience Bidhaa Nzuri kwa sasa
  9. TECNO Tanzania

    Toleo la Pop 7 linapatikana sasa nchi nzima

    Asante sana Kwa Ujumbe Boss Naamini watumiaji wa Matoleo yetu ya sasa wanapata experience nzuri sana za Bidhaa zetu.
  10. TECNO Tanzania

    Toleo la Pop 7 linapatikana sasa nchi nzima

    Tunakushukuru kwa kuwa mwana familia wetu wa TECNO. Tunaomba uwendelee kusambaza Positive word of mouth tuubadilishe huu mtazamo wa watu maana ukweli ni kwamba tumekuwa tukitoa simu Bora na nzuri kuliko hao wanaodanganya umma kwamba simu zetu sio bora.
  11. TECNO Tanzania

    Toleo la Pop 7 linapatikana sasa nchi nzima

    5000mAh Battery Capacity
  12. TECNO Tanzania

    Toleo la Pop 7 linapatikana sasa nchi nzima

    Kwa toleo Hili Boss Amini katika ubora uliofanyika apa. Simu hii imeboresha mara 100 zaidi ya POP zilizopita. Hii imekuja kivingine na imeziba mapengo yaliyowai kutokea
  13. TECNO Tanzania

    Toleo la Pop 7 linapatikana sasa nchi nzima

    Habari Boss Toleo hili linakuja na Betri lenye uwezo wa 5000mAh
  14. TECNO Tanzania

    Toleo la Pop 7 linapatikana sasa nchi nzima

    Habari Boss! Simu zinazo tolewa kwa mkopo ni CAMON, 19 SPARK 9 na POP. wasiliana na namba hii kwa maelekezo zaidi 0688613613/0715311203
  15. TECNO Tanzania

    Toleo la Pop 7 linapatikana sasa nchi nzima

    Habari Boss! Toleo hili la POP 7 limekimbizana na techinologia ya kisasa na ubora mkubwa sana kwenye matoleo yote ya POP ndo maana kama umesoma vizuri tumesema POP 7 ndo th best in quality na kila kitu kulipo POP nyingine zilizo pita.Jaribu ladha mpya ya POP 7 uwone
Back
Top Bottom