Bei kuwa nafuu haina maana kama gari ni kimeo na ndio maana nimesema mtu aje na fundi wake kuk\gua mimi nauza ili niongezee hela ninunue gari lengine kama huna gari na unalipuuza hili inakuwa imekula kwako
Gari haina shida yeyote ni kuweka mafuta na kuyeya .jipatie ndinga la kwako uepukane na daladala kwa bei ya kutupa 1.6m tena kwa uhakika uje na fundi wako0789630368
Ni familia ya mtu aliyekuwa mfanyabiashara na mwanasiasa mashuhuri nchini marekani kwenye miaka 1920s Mr Joseph Sr Kennedy yenye watoto 9 , Joseph Kennedy ktk kipindi cha ujana wake alifanya jitihada sana ili aweze kupata nafasi kubwa ya uongozi wa urais nchini marekani.
Lakini jitihada zake...
Bei chee magari ni kampuni inayojihusisha na uuzaji wa magari ya kuanzia MIL 3 kuendelea yenye hali nzuri
Epuka kalaa za mwendokasi na daladala kama kukanyagana,kunusa vikwapa, wanawake kubambiwa
Miliki gari lako sasa fanya mawasiliano na namba 0789630368 utumiwe picha za magari watsup
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.