Recent content by Tazama Ramani

  1. Tazama Ramani

    Wanafunzi wa Sekondari Mpaka Chuo Kikuu: Pata Vitabu vya Masomo Mbalimbali Hapa

    Nahitaji vitabu vya TIE chemistry na biology o level. Natanguliza shukrani
  2. Tazama Ramani

    Je, kati ya Machinga na Watumishi wa Umma, nani hasa wanaochafua miji?

    Hahahaha wameniudhi Sana bro, Soma utaona shida ilipoanzia, wanajaribu kukata matawi sababu eti kukata mizizi ni kazi, kiukweli hawataweza kuondoa tatizo lenyewe hasa. Sjui wanataka tuwe Kama vijana wa Ethiopia Kila siku wanakimbia nchi yao,,, mtu anafanya kazi ndani ya nchi yake ww badala ya...
  3. Tazama Ramani

    Je, kati ya Machinga na Watumishi wa Umma, nani hasa wanaochafua miji?

    Salaam wanabodi, Moja kwa moja kwenye hoja. Tatizo tulilonalo ni ajira hii ni fact, watafiti wanasema kufikia 2050 Africa itahitaji ajira mpya zaidi ya milioni 500 (source frani hivi) Hakuna serikali duniani iliomaliza tatzo la ajira kwa kuwaajiri wananchi wake wote (if I'm wrong, correct me)...
Back
Top Bottom