Hapo ndipo unapoona hoja ya reforms zinapohitajika na kanuni za uchaguzi kuboreshwa madhumuni ya kuongeza number ni kuongeza idadi ya kura na ili jambo ni rahisi mno kulidhibiti kikanuni ni kuhakikisha wapiga kura wote kwenye vituo wanapigq kula kwa number na kabla ya kura kuhesabiwa mawakala...
Alichozungumza Mpina leo ndio uhalisia wa majombo mengi kwa sasa mfano Kigamboni ukivuka tu. Lipo Bango la mama atukudai tutakulipa October 25 sasa unajiuliza hii Kigamboni kuna mradi upi serikali imetekeleza Kigamboni barabara za lami unaxihesabu hakuna maji ya bomba jimbo zima ni maji ya...
Ni kweli km taifa tunahitaji mijadala mipana ya nyinsi mikopo inavyosaidia taifa ama inavyosabanisha mzigo mkubwa wa madeni kwa wananchi na pia tumuogope mwenyezimungu kwa kutoa takwimu za kweli na zenye uhalisia ili kulisaddia taifa mfano mleta mada unaposema serikali imemunua boti 280 za...
Baada ya hii mikutano ya No reforms No election inayoendelea nchi nzima nilichogundua uungwaji mkono kwa CHADEMA ni mkubwa mno zaidi ya uongozi unavyolichukulia..
Kwa maoni yangu kama chama kitajiwekea mikakati madhubuti ya ukweli na uwazi hiki chama kina uwezo wa kujiendesha bila pesa ya...
Tuna viongozi wa dini ambao wamechagua kuwa machawa wa wanasiasa wanaijua haki ba batwil ndani ya nafsi zao lkn kutokana na tamaa ya maisha ya dunia wamechagua kuwa machawa hakuna anayenyanyua mdomo kukemea maovu hakuna muislam hata mmoja anayefurahishwa na hali ya utekqji na watu kupotea labda...
Ushaurii bora ni wao pia wattoke kukemea hv vitendo vya utakaje huo ndio uislam wa kweli tusichague kuwa wanafiki kwa mgongo wa dini uislam ni inayoubiri haki ktk mafundisho yake
Hayo ni makalatasi yaliyopewa nguvu na wakoloni pesa za kweli ni dhahabu na fedha huo ndio mpango wa mungu haya mengine na utapeli tu embu tuangalia hapa mfano dollar ndani yake kuna kitu gani cha dhamani si karatassi tu km makaratasi mengine ni bora ingekuwa zinaongezewa samani hata na madini basi
Nchi hii tutaendelea kuwa masikini daima milele watu huwa awaamini ktk mafanikio ni lazima utafutiwe sababu umefanikiwaje hizi ndio tabia za kimasikini
Hii kesi ni ya aibu sana sielewi kwa nn mpaka wakati huu bado ipo mahakani..
Jinsi inavyoendelea ndio jeshi la police linazidi kuvuka nguo itafika wakati hata raia watapoteza utii kwa hili jeshi kinachoonekana ni kikundi cha uwarifu km vikundi vingine vya uwalifu ...shame
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.