Namwagilia maji ya mto yanayotiririka hila hali ya uku ninakolima maji ya visima huwa yana chumvi
Ok sasa nitumie nn ili nizibit hilo tatizo lisiendelee
Nalima kilimo cha umwagiliaji
Maana nikiangalia shina unakuta lina malando km matatu alafu moja linaonesha kukauka na mawili yanaendelea kuishi bila shida
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.