Recent content by tavice

  1. tavice

    JamiiForums Tanzania Natafuta mbegu za vitunguu

    Nina imani linakubali lakini sio sana km ukilima km Moro, Mangora nk
  2. tavice

    JamiiForums Tanzania MADA: Fahamu zaidi kuhusu mbinu za kilimo cha tikitimaji, faida na changamoto zake

    Nitabadilije mbegu wakati nishaotesha Labda kwa msimu hujao
  3. tavice

    JamiiForums Tanzania MADA: Fahamu zaidi kuhusu mbinu za kilimo cha tikitimaji, faida na changamoto zake

    Kumbuka maji ninayomwagilia ni ya mto yanayotiririka niya mvua Ok naweza jutibu hiyo hali kwa kufanya kitu gani...?
  4. tavice

    JamiiForums Tanzania MADA: Fahamu zaidi kuhusu mbinu za kilimo cha tikitimaji, faida na changamoto zake

    Namwagilia maji ya mto yanayotiririka hila hali ya uku ninakolima maji ya visima huwa yana chumvi Ok sasa nitumie nn ili nizibit hilo tatizo lisiendelee
  5. tavice

    JamiiForums Tanzania MADA: Fahamu zaidi kuhusu mbinu za kilimo cha tikitimaji, faida na changamoto zake

    Nalima kilimo cha umwagiliaji Maana nikiangalia shina unakuta lina malando km matatu alafu moja linaonesha kukauka na mawili yanaendelea kuishi bila shida
  6. tavice

    JamiiForums Tanzania MADA: Fahamu zaidi kuhusu mbinu za kilimo cha tikitimaji, faida na changamoto zake

    Ndugu zangu poleni majukumu naomba kwa wale mnaolima matikiti mnisaidie mawazo kuna hii hali ya kukauka kwa majani imejitokesa shambani kwangu
Back
Top Bottom