Recent content by Tatu

  1. Tatu

    Tatizo la maji Mjini Arusha sasa limekuwa sugu

    Tatizo la maji mjini Arusha sasa limekuwa sugu. Inakuwaje maji yanakatwa kwa zaidi ya siku tatu bila accountability yoyote? Shida hasa ni nini? Kumekuwa na mvua za kutosha Arusha na mikoa yote kwa ujumla kwa hiyo suala la upungufu wa maji isiwe kisingizio. Kwa kweli hii hali haikubaliki hata...
  2. Tatu

    Wazo bunifu: Ma IT wa JF

    Nashukuru kwa ku-share uzoefu wako. Changamoto ambayo najaribu kuepuka hapa au iwe very minimal, ni interaction ya mimi na app/system on a daily basis. Kikubwa ninachotaka app/system iweze kufanya ni "Mwajiri aki-approve kazi baada ya kuridhika," malipo yafanyike automatically. Kwa hiyo swali...
  3. Tatu

    Wazo bunifu: Ma IT wa JF

    Unfortunately, hata AzamPay hawana hiyo service.
  4. Tatu

    Wazo bunifu: Ma IT wa JF

    Yes Dr. Hivyo vyote viko kwenye app ndio maana nilitaka kuweka hiyo mechanism yaku collect wages and hold. Hiyo TShs3000 nilimaanisha wage ya siku nzima.
  5. Tatu

    Wazo bunifu: Ma IT wa JF

    Nitajaribu kuongea nao. Kama nilivyosema hapo nyuma, ikishindikana kwa sasa, nitafanya employer wa-post kazi bila deposits yoyote. Labda baadae nita upgrade once hiyo huduma ikitokea. Thanks.
  6. Tatu

    Wazo bunifu: Ma IT wa JF

    Dr. I am glad you brought this. Actually hiyo ndiyo naifanyia kazi. Umeshaoanisha shida ya kwanza. Shida ya pili ambayo nataka kutatua ni hiyo ya malipo. Nimeona vibarua wengi wanazungushwa na malipo yao mara baada ya kumaliza kazi. Kwa hiyo solution yangu ni kwamba, employer yoyote akipost...
  7. Tatu

    Wazo bunifu: Ma IT wa JF

    That's great! Congratulations.
  8. Tatu

    Wazo bunifu: Ma IT wa JF

    Hongera ndugu. Penye nia pana njia. All you need is focus and determination.
  9. Tatu

    Wazo bunifu: Ma IT wa JF

    You're spot on! Shida yetu kubwa sana hasa linapokuja suala la hela ni UAMINIFU. Kwa kukazia tu point yako, kuna app moja namalizia kwenye NICHE fulani ambayo ina shida kubwa katika malipo lakini nimekwama. Hakuna kampuni hata moja Bongo inayotoa huduma ya Escrow. Naweza ku-integrate na PayPal...
  10. Tatu

    Mnatumia nini kama mbadala wa free Microsoft Office?

    Use LibreOffice. It is a better alternative Here's the download link https://www.libreoffice.org/download/download-libreoffice/ Good luck
  11. Tatu

    Sijaelewa kuhusu Dkt. Mwigulu kukopa Trilioni 5 ili kulipia Hati Fungani za serikali zilizoiva

    Pale pale kwenye mshono alipopiga Mh. Lema lakini bado watu wanajifanya hawamuelewi. That's the bigger implication of what Hon. Lema implied.
  12. Tatu

    Mimi ni mtumiaji wa Vodacom. Nakatwa salio langu Tsh.100 ya huduma ya Mdundo bila ya ridhaa yangu

    Naamini mtu akiweka tangazo hapo kwa wale waliounganishwa kwenye service bila consent zao, wengi watajitokeza. Baada ya hapo ni kuweka action plan to end this madness and daylight robbery once for all.
  13. Tatu

    Mimi ni mtumiaji wa Vodacom. Nakatwa salio langu Tsh.100 ya huduma ya Mdundo bila ya ridhaa yangu

    Pole sana mkuu. Huo ni wizi 100%. Hakuna aliye juu ya sheria. Hiyo kampuni ni kuiburuza mahakamani. Mimi sio mwanasheria lakini I hope Tanzania kuna kitu kinaitwa Class Action Lawsuit. Kampuni inayowaibia watu kwa njia hii inabidi ifundishwe adabu na ustaarabu. Cha kufanya ni kutafuta wale...
  14. Tatu

    Natafuta ramani nzuri ya kizungu

    Ramani inaanzia kwako. Nyumba za kizungu is too general. Una nini au uko tayari kwa kiasi gani, i.e, una uwanja waku-accommodate hiyo nyumba ya kizungu? Sio unajenga nyumba halafu baadae uzio/ukuta uko mita moja kutoka kwenye nyumba. Wakati mwingine huwa nikiona nyumba za namna hii nashindwa...
  15. Tatu

    Ni aina gani ya tovuti zimesahaulika kuundwa Tanzania?

    If you don't mind, why do you say WP was a big mistake?
Back
Top Bottom