Recent content by tatoo nyalus

  1. T

    Course ya biashara

    Business administration Sent using Jamii Forums mobile app
  2. T

    Msaada tafadhari

    Dar es salaam Sent using Jamii Forums mobile app
  3. T

    Msaada tafadhari

    Habari!nilikuwa naomba msaada wa kufahamishwa vyuo vinavyotoa elimu ya udereva vilivyo chini ya veta yaani vilivyosajiliwa....asante Sent using Jamii Forums mobile app
  4. T

    Nimemaliza degree ya education English and Geography vipi niombe kaz online?

    Sure....try u'r luck. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. T

    Kwa matokeo haya naweza kujiunga na chuo cha NIT?

    Asante sanaaa....mungu akubariki nitayafanyia kazi hayoo Sent using Jamii Forums mobile app
  6. T

    Kwa matokeo haya naweza kujiunga na chuo cha NIT?

    Sawa na asante kwakunielekeza...mwanzoni nilipata D ya geo,D ya kisw na C ya eng....mwaka jana nina D ya geo na D ya kisw...please Sent using Jamii Forums mobile app
  7. T

    Kwa matokeo haya naweza kujiunga na chuo cha NIT?

    Duh una maneno makali sana ni jambo la kunielekeza tu nin natakiwa kufanya ili muelewe na kunipa ushauri...mimi ni muhuni ni swala la kutokuelewa tu... Sent using Jamii Forums mobile app
  8. T

    Kwa matokeo haya naweza kujiunga na chuo cha NIT?

    Mimi ni binti nilifanya mtihani mwaka juzi nikapata D2 na c1....mwaka Jana nikafanya tens nimepata D2 ila masomo yamejirudia yaleyale je naweza kujiunga na kozi ya marketing pale NIT...tafadharr Sent using Jamii Forums mobile app
  9. T

    Nafasi ya kusoma

    Naombeni msaada...nilifanya mtihani mwaka 2016 nikapata c1na D2 ..mwaka jana nikarisit nikapata D2 je ninaweza kupata nafasi ya diploma chuo cha veta ...je ni kozi gani zuri nishaurini jamani ..tafadharini sana nisaidienii Sent using Jamii Forums mobile app
  10. T

    Msaada

    Naombeni ushauri nilifanya mtihani 2016 nikapata c1 na D2 ....nikarisit kwaka jana nimepata D2...nilikuwa hahitaji kwenda veta je ninaweza kupata diploma ya course gani nzuri...tafadharii Sent using Jamii Forums mobile app
  11. T

    Education

    Nilikuwa nahitaji maioni na mtanzamo ni kweli kwakuwa ajira zimekuwa ngumu hivyo haina haja ya kusoma badala yake tufanye biadhara au ujasiliamali...?? Sent using Jamii Forums mobile app
  12. T

    Wapi naweza kujifunza kuoka mikate na maandazi

    Habari!mimi nilikuwa naomba msaada wa wapi naweza kijifunza kuoka mikate na maandazi maana nilikuwa napen da kuja kumiliki bakery yangu...please Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom