Recent content by tata jay

  1. T

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kamati Kuu CCM yatangaza rasmi majina ya watia nia Ubunge 2025

    Vipi tarime mjini na vijijini?
  2. T

    JamiiForums Tanzania MAANDAMANO LAMADI.

    Mabomu ya machozi Kama yote
  3. T

    JamiiForums Tanzania Mpaka sasa haijulikani wapi Tundu Lissu alipo

    Chadema anzeni kuteka mapolisi na jamaa zao
  4. T

    JamiiForums Tanzania Watoto wa viongozi wakuu wa nchi walipwe ili kuwatia moyo

    Kama haya ndo mawazo ya mtu mzima na pengine anaiongoza familia na huku akijua kuwa taifa limekosa hata umeme wa uhakika,maji Safi na salama,dawa,ajira,mfumko wa bei n.k halafu anaomba watoto wa viongozi walipwe ni upumbavu wa kiwango.Hao viongozi wao Wanawajibu gani kwa familia zao? mleta Uzi...
  5. T

    JamiiForums Tanzania Jumba la kifahari la Mwenyekiti Mbowe lazua maswali ndani ya CHADEMA

    Ushamba ni Kama ugonjwa wa kufisha.ufahari unaouona kwenye hiyo nyumba ni upi?
  6. T

    JamiiForums Tanzania Rais Samia unasubiri nini kufunga Ubalozi Israel?

    Vita ya Israel na palestina ataiamua Mungu mwenyewe.mwanadamu una masharti mawili tu, kuutakia Yerusalemu amani na kuubariki.hutaki kaa kimya.vinginevyo wewe ni adui wa Mungu.Mwanzo 12:3 na Zaburi 122:6.
  7. T

    JamiiForums Tanzania Mbowe ajitokeze haraka hadharani kueleza fedha za join the chain zipo wapi na zilipatikana shilingi ngapi, ili kuondoa malalamiko ya wanachama

    Lucas unawateteaje wanachama wa Chadema huku ukiwaacha wamasai wanakimbizwa kwenye ardhi yao? Si useme tu kuwa una agenda binafsi na double standard ya kiwango Cha chama chenu?
  8. T

    JamiiForums Tanzania Katibu Mkuu wa Itikadi na Uenezi CCM, Paul Makonda atambulishwa rasmi CCM, atinga kwa bodaboda

    Usitutishe.unamwogopa wewe!!!
  9. T

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Rais Samia Suluhu Hassan atashinda urais 2025 asubuhi na mapema

    Moja ya changamoto kubwa inayoturudisha nyuma watanzania ni pale mtu mzima anapoamka au kulala akiwazia kushinda uchaguzi uchaguzi hata kwa majira yasiyohusiana.
  10. T

    JamiiForums Tanzania Dkt. Slaa adaiwa kubadilishiwa mashtaka kutoka ya uchochezi na kuwa ya uhaini

    Yote tisa cha msingi kuna mtu anajua fika kuwa vyesi vya mchongo mwisho wake ni aibu mahakamani.Hapa ni kudhalilishana na kupotezeana muda tu.Hakuna cha uhaini Wala nini.
  11. T

    JamiiForums Tanzania Jopo la Wanasheria 10 kuwaburuza kortini wanaotumia lugha ya matusi katika mjadala wa Bandari

    Mdogo mdogo udini unazidi kukomaa.Mbinu za chama kubwa ku divaidi eni rulu ili watu wazidi kupiga.Naihurumia Tanzania ya kesho.We are uncontrollably going astray.
  12. T

    JamiiForums Tanzania Tetesi: SIRI IMEVUJA: CHADEMA mikononi mwa kampuni ya BELG Sea International

    Ni Kama mleta Uzi analaana inamfuatilia kiasi kwamba hana habari na maisha yake na kizazi chake.shame on you agents of the devil.
Back
Top Bottom