Tatizo ni kujiona nyie wasomi, werevu na wajuaji kuliko wengine wote. Hivi unadhani wasio wakatoliki hawajui kusoma katikati ya mstari. Mwongo anza na Kitima anayedanyanya kashambuliwa TEC Kurasini, tena ndani. How? Mgeni akiingia mle huwa anafungwa kamba mguuni. Sio physically lakini watu wote...
Sasa matusi ya nini kama mna hoja za kweli? Au unadhani wengine hawajui kutusi mtu kama wewe ambaye kwa lugha yako inaonekana mshamba wa bara na nyumbu mfuata mkumbo. ukileta matusi utatukanwa wewe hadi ukimbie. kuwa mstaarabu
Baba Mtakatifu,
Ninaandika kwa dharura kutoka Tanzania, nchi ambayo historia yake imesimama kama mfano wa kuvutia wa mshikamano wa kidini. Zaidi ya miongo sita, Wakristo na Waislamu wameishi kama ndugu, wakiwa si tu watu wa imani bali Watanzania. Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere...
It is not by accident that the old philosophers gave us the phrase "ignorantia elenchi", the fallacy of irrelevant conclusion. It is the mistake of answering a question that was never asked, of raising a banner that does not address the true battlefield. And in Tanzania today, if ever there was...
Your Holiness,
I write with urgency from Tanzania, a land whose history has long stood as a shining example of interfaith harmony. For more than six decades, Christians and Muslims have lived as brothers and sisters, bound not by creed alone but by a shared identity as Tanzanians. It was the...
Nampenda sana Rais Paul Kagame, hacheki na nyani kama huyu, ndio maana shamba lake la mahindi liko salama na anaendeleza nchi fasta kuliko sie wote Afrika Mashariki na Kati. Hauhitaji kuwa na PhD kujua ni nini mnafiki kama huyu PK angemfanya nini libaki kuwa fundisho kwa wengine dizaini yake...
Nyie wa USAFISHAJI MKUU, kama kweli mnahitaji hayo mageuzi, acheni woga, unafiki na matusi, mjitokeze hadharani kama wenzenu wa Kenya na kuweka hoja mezani ama barabarani na sio nyuma ye keyboard na jina feki. Haisaidii kitu kuishia mtandaoni. Jitokezeni kama kweli wanaume
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.