Recent content by Tarimo45

  1. T

    DOKEZO TRA na Askari barabara ya Tanga-Segera punguzeni rushwa

    Hao jamaa wa hapo segera ni rushwa tupu
  2. T

    DOKEZO TRA na Askari barabara ya Tanga-Segera punguzeni rushwa

    Ni wiki sasa imepita tangu nipitie njiapanda ya Segera askari wengi wakishirikiana na baadhi ya maofisa wa T.R.A hapo wanapokea rushwa wazi wazi bila woga . Wakati wa usiku unapofika hapo askari anakuwahi mlangoni umpe pesa kama huna ndio kipengele unataftiwa kosa la kukufanya uingize gari...
Back
Top Bottom